Recent content by Mntu wa Murungu

  1. M

    Watanzania ni watu wenye wivu mno

    Nakaribia kukubaliana na wewe. Wivu ni DHAMBI mbele za Mungu ,hivyo wengi wanaishi katika dhambi hiyo na Mungu hawezi kuachilia baraka zake.Ndio maana wengi hulia vyuma vimekaza
  2. M

    Mtume Mwamposa na jaribu la imani

    Umesahau BABU wa LOLIONDO na kikombe cha plastic na maji taka; ni Mlutheri yule. Hatumfahamu Mungu kwa madigirii/PHD etc.; wasingekuwa walevi, wavuta sigara wazinzi, wapigadili wa kawaida dhambi lukuki. Neno la Mungu ni ROHO na linatambulikana kwa ROHO mtakatifu sio kwenda shule za kidunia. Yako...
  3. M

    Ogopa sana mafuta ya upako na maji ya baraka toka kwa manabii na mitume wa kileo

    MPUMBAVU AKASEMA HAKUNA MUNGU; neno la Mungu linasema hivyo na hakuna maelezo zaidi.
  4. M

    Ogopa sana mafuta ya upako na maji ya baraka toka kwa manabii na mitume wa kileo

    Tunaomba na kubarikiwa kwa JINA LA YESU pekee, na halihitaji msaada wa kitu kingine chochote ndugu yangu. Kote kwenye nyongeza ya jina la YESU ni upotofu. Yesu kielelezo chetu hakutuachia mafuta, maji wala kifaa kingine chochote.
  5. M

    Mtume Mwamposa na jaribu la imani

    Mungu ni Boss wa maboss wote; haulizwi kwanini, huo ni utovu wa nidhamu. Chukua neno hili la Biblia;;;.WATU WANGU HUANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA''. Maarifa ni kulifahamu neno sahihi la Mungu
  6. M

    Mtume Mwamposa na jaribu la imani

    Najua neno moja tu; Kwa jina la YESU, pepo wanatoka, vilema wanatembea, vipofu wanaona etc.......Yote yamethibitishwa na neno la MUNGU. Sio kwa jina lingine liwalo lolote. Hebu fuatilia mahubiri ya watumishi wa Mungu wakati wa uzinduzi wa jukwaa la JKK pale BCC Mbezi kwa Askofu Gwamanya
  7. M

    Pumzika kwa Amani Ka' Abdallah. Tusipende kuchukua sheria mkononi tutaua watu wasio na hatia bure tTu

    Ni huzuni kubwa; kwanza kuua ni dhambi mbele za Mungu. kwanini hatua mahsusi kudhibiti hili la ''Wananchi wenye hasira kali'' zisichukuliwe na vyombo vyetu vya [QUOTE="APEFACE, post: 34189289, member: 39 ...eti kalewa
  8. M

    Kwanini hospitali zina mchoro na picha ya nyoka?

    1.Biblia inaelezea juu ya nyoka wa shaba ambapo wana Wa Israeli walipoumwa na nyoka jangwani walielekezwa kumwangalia nyoka wa SHABA iliyekuwa amewekwa juu ya mti na walipona pale walipoumwa. Hospitali , mashirilka hayo yameiga mfano huo na kutumia alama hiyo kama ishara ya uponyaji. 2. Nyoka ni...
  9. M

    Pumzika kwa amani Plasidia Rugalema

    Siku za kuishi mwanadamu anazijua MUNGU peke yake. Hakuna ajuaye siku wala saa ya kufa kwake au mwingine
  10. M

    Pumzika kwa amani Plasidia Rugalema

    Hofu itufanye tumkaribie Mungu na kufanya mapenzi yake; TUOKOKE , Bwana Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yetu
  11. M

    Pumzika kwa amani Plasidia Rugalema

    Sina cha kuongeza hapo zaidi ya kuzingatia hayo maaandiko YOTE
  12. M

    Pumzika kwa amani Plasidia Rugalema

    Siku za mwanadamu duniani sio nyingi na zimejaa taabu. Ni kama mvuke, maua ambayo huchanua na kunyauka..........Tujiweke tayari kwakuwa hatujui saa wala siku. Haya ni maandiko ya Biblia takatifu. Mungu akisema amesema lazima itimie. Mungu mhukumu wa haki ndiye ajuaye mahali alikofikia rafiki...
Back
Top Bottom