Hello friends, I am a Tanzanian poet. My poetry book is now published in AMAZON so as everyone of you can get it easily by online purchase.
Don't worry because the price of the book is low, fair and reasonable.
The book is called 'SONGS OF AFRICAN FATHERS'. Inside the book there is a plenty of...
Heshima kwenu wana JF,
Kuna baadhi ya waandishi wamebarikiwa na Mola kuandika vizuri lakini pia wamejifunza zaidi kuwa wajuzi na wabobezi wa kuandika tamthiliya, riwaya na ushairi kwa ustadi na weledi mkubwa ili kutuburudisha na kutuelimisha pia.
Kuna baadhi ya vitabu vya...
mkuu utakuwa unafahamu historia ya kiuandishi kuhusu huyu jamaa, hebu tudadavulie kuhusu maneno hayo yenye rangi nyekundu ili tujifunze kitu. Angalau na sisi uandishi wetu uendelee mbele.
Heshima kwenu wadau wa JF.
Ninachelea kusema kuwa ninafurahi sana kuona vijana wenzangu wa kitanzania hasa waandishi wa vitabu vya fasihi kwa lugha ya kiswahili.
Mnamo 15/4/2018 watanzania wawili wameng'ara katika anga za kimataifa kwa maandiko yao ya fasihi bora na yenye kuelimisha jamii...
#andreakalima una nidhamu mbaya sana, wewe unafikiri kila mtanzania anayeenda nje anaenda kufanya ushoga, jirekebishe thread hii haihusiani na ushoga kwa namna yoyote ile.
Jirekebishe.
Hamjambo wadau wa JF.
Nimepata mwaliko wa kwenda kwenye tamasha moja la sanaa huko GABORONE-BOTSWNimepata mwaliko wa kwenda kwenye tamasha moja la sanaa huko GABORONE-BOTSWANA.
Ninaomba kujua kuhusu yafuatayo kabla sijaamua kwenda huko;
1. Gharama ya Passport ya kusafiria kwenda Botswana...
Natumaini hamjambo wadau wa mashairi na fasihi kwa ujumla.
Baada ya kumaliza kuandika kitabu changu cha ushairi kwa lugha ya kiingereza kinachoitwa 'SONGS OF AFRICAN FATHERS'
kitabu hiki kinazungumzia nasaha na misemo kadha wa kadha iliyosemwa na viongozi wetu wa kiafrika kwa ajili ya ustawi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.