Mniko The Poet
Member
- Aug 4, 2017
- 49
- 34
Heshima kwenu wana JF,
Kuna baadhi ya waandishi wamebarikiwa na Mola kuandika vizuri lakini pia wamejifunza zaidi kuwa wajuzi na wabobezi wa kuandika tamthiliya, riwaya na ushairi kwa ustadi na weledi mkubwa ili kutuburudisha na kutuelimisha pia.
Kuna baadhi ya vitabu vya riwaya/tamthiliya/ushairi ambavyo nikivisoma huwa sichoki kuvirudia maana vinazungumza kuhusu maisha halisi tunayoishi kama jamii.
Vitabu ambavyo nimewahi kusoma nikaburudika na kuelimika pasipo kuchoka ni hivi;
1. Mfalme Juha.
2. I will marry when I want (kuna mhusika hapa anaitwa John Muhuuni amedadavuliwa vyema sana).
3. An enemy of the People.
4. Things fall apart.
5. Songs of Lawino and Ocol.
6. Stray birds.
7. A man of the people.
8. The Beautyful Ones are not yet born (tittle yake iko kama ilivyo wala usiisahihishe hata kidogo kwenye neno BEAUTYFUL maana mwandishi alidhamiria kitu fulani kuiweka hivyo ilivyo).
9. My favourite poems are; ROAD NOT TAKEN by Robert Frost and 'EAT MORE' by unknown author.
10. MFADHILI.
JOURNALS na MAGAZINES ninazopenda kusoma bila kuchoka ni hizi;
1. BONSAI JOURNAL (ukiingia kwa website yao unadownload bure).
2. The Sun.
3. The 13 Alphabet Magazine.
JE wewe umewahi kusoma/unapenda kusoma kitabu gani kinachokufanya usichoke kukirudia maana unaona uhalisia wake kwa maisha ya jamii yako? Vitaje vitabu hivyo au journals ama magazines nasi tupate kuvijua na kuvisoma.
Karibuni,
Kuna baadhi ya waandishi wamebarikiwa na Mola kuandika vizuri lakini pia wamejifunza zaidi kuwa wajuzi na wabobezi wa kuandika tamthiliya, riwaya na ushairi kwa ustadi na weledi mkubwa ili kutuburudisha na kutuelimisha pia.
Kuna baadhi ya vitabu vya riwaya/tamthiliya/ushairi ambavyo nikivisoma huwa sichoki kuvirudia maana vinazungumza kuhusu maisha halisi tunayoishi kama jamii.
Vitabu ambavyo nimewahi kusoma nikaburudika na kuelimika pasipo kuchoka ni hivi;
1. Mfalme Juha.
2. I will marry when I want (kuna mhusika hapa anaitwa John Muhuuni amedadavuliwa vyema sana).
3. An enemy of the People.
4. Things fall apart.
5. Songs of Lawino and Ocol.
6. Stray birds.
7. A man of the people.
8. The Beautyful Ones are not yet born (tittle yake iko kama ilivyo wala usiisahihishe hata kidogo kwenye neno BEAUTYFUL maana mwandishi alidhamiria kitu fulani kuiweka hivyo ilivyo).
9. My favourite poems are; ROAD NOT TAKEN by Robert Frost and 'EAT MORE' by unknown author.
10. MFADHILI.
JOURNALS na MAGAZINES ninazopenda kusoma bila kuchoka ni hizi;
1. BONSAI JOURNAL (ukiingia kwa website yao unadownload bure).
2. The Sun.
3. The 13 Alphabet Magazine.
JE wewe umewahi kusoma/unapenda kusoma kitabu gani kinachokufanya usichoke kukirudia maana unaona uhalisia wake kwa maisha ya jamii yako? Vitaje vitabu hivyo au journals ama magazines nasi tupate kuvijua na kuvisoma.
Karibuni,