Vitabu vizuri vya fasihi nipendavyo kusoma. Je, wewe wapenda kusoma vitabu gani?

Aug 4, 2017
49
34
Heshima kwenu wana JF,

Kuna baadhi ya waandishi wamebarikiwa na Mola kuandika vizuri lakini pia wamejifunza zaidi kuwa wajuzi na wabobezi wa kuandika tamthiliya, riwaya na ushairi kwa ustadi na weledi mkubwa ili kutuburudisha na kutuelimisha pia.


Kuna baadhi ya vitabu vya riwaya/tamthiliya/ushairi ambavyo nikivisoma huwa sichoki kuvirudia maana vinazungumza kuhusu maisha halisi tunayoishi kama jamii.


Vitabu ambavyo nimewahi kusoma nikaburudika na kuelimika pasipo kuchoka ni hivi;


1. Mfalme Juha.

2. I will marry when I want (kuna mhusika hapa anaitwa John Muhuuni amedadavuliwa vyema sana).

3. An enemy of the People.

4. Things fall apart.

5. Songs of Lawino and Ocol.

6. Stray birds.

7. A man of the people.

8. The Beautyful Ones are not yet born (tittle yake iko kama ilivyo wala usiisahihishe hata kidogo kwenye neno BEAUTYFUL maana mwandishi alidhamiria kitu fulani kuiweka hivyo ilivyo).

9. My favourite poems are; ROAD NOT TAKEN by Robert Frost and 'EAT MORE' by unknown author.

10. MFADHILI.



JOURNALS na MAGAZINES ninazopenda kusoma bila kuchoka ni hizi;



1. BONSAI JOURNAL (ukiingia kwa website yao unadownload bure).

2. The Sun.

3. The 13 Alphabet Magazine.


JE wewe umewahi kusoma/unapenda kusoma kitabu gani kinachokufanya usichoke kukirudia maana unaona uhalisia wake kwa maisha ya jamii yako? Vitaje vitabu hivyo au journals ama magazines nasi tupate kuvijua na kuvisoma.


Karibuni,
 
The Old Man and the medal

The House boy(hiki kilinitoa machozi)kimeandikwa na Ferdinand Oyono Mbia

The Trial of Brother Jero

Uncle Tom's Child

Dedan Kimathi

Kinjeketile

Things Fall Apart

Betrayal in the city

Usiku utakapokwisha

Dar Es Salaam usiku wa manane

Nagona

Rosa Matsika

nimechoka kuorodhesha
 
The Old Man and the medal

The House boy(hiki kilinitoa machozi)kimeandikwa na Ferdinand Oyono Mbia

The Trial of Brother Jero

Uncle Tom's Child

Dedan Kimathi

Kinjeketile

Things Fall Apart

Betrayal in the city

Usiku utakapokwisha

Dar Es Salaam usiku wa manane

Nagona

Rosa Matsika

nimechoka kuorodhesha
Hivi hakuna mwenye soft copy ya kitabu kimojawapo kati ya hivyo
 
Ahadi za Mchumba (nina soft copy yake - riwaya ya mwaka huu).

Mfadhili,

vuta n'kuvute,

i will mary when I want (nina soft copy yake)


Ngoswe penzi kitovu cha uzembe,

things fall a part (nina soft copy yake)
 
Ahadi za Mchumba (nina soft copy yake - riwaya ya mwaka huu).

Mfadhili,

vuta n'kuvute,

i will mary when I want (nina soft copy yake)


Ngoswe penzi kitovu cha uzembe,

things fall a part (nina soft copy yake)
Tunaomba tuachie hizo soft copy utakuwa umenisaidia sana
 
Ahadi za Mchumba (nina soft copy yake - riwaya ya mwaka huu).

Mfadhili,

vuta n'kuvute,

i will mary when I want (nina soft copy yake)


Ngoswe penzi kitovu cha uzembe,

things fall a part (nina soft copy yake)
Tuangushieni hizo soft copies wakuu.
 
Hivi hakuna mwenye soft copy ya kitabu kimojawapo kati ya hivyo
Kuna vitabu kama vuta nkuvute, Dar es Salaam usiku wa manane, usiku utakapokwisha,mkimbizi, ahadi za uchumba, Rosa mistika,mfadhili, mkimbizi Na hiki cha I will marry when I want nikivipata vitabu hivi
 
Ahadi za Mchumba (nina soft copy yake - riwaya ya mwaka huu).

Mfadhili,

vuta n'kuvute,

i will mary when I want (nina soft copy yake)


Ngoswe penzi kitovu cha uzembe,

things fall a part (nina soft copy yake)
Mdau, achia soft copy kwa heshima ya jukwaa.
 
Kesho nitawawekea soft copies za vitabu hivi;

Ahadi za mchumba (riwaya) by Mniko Chacha (mtanzania)


I will mary when i want (tamthiliya) by Ngugi wa thiongò (mkenya)


Things fall apart (riwaya) by chinua achebe (mnigeria).
 
Kesho nitawawekea soft copies za vitabu hivi;

Ahadi za mchumba (riwaya) by Mniko Chacha (mtanzania)


I will mary when i want (tamthiliya) by Ngugi wa thiongò (mkenya)


Things fall apart (riwaya) by chinua achebe (mnigeria).

Ni njema sana mkuu, nipo kuzingoja
 
Back
Top Bottom