Ha ha ha haaa,,,,,basi bhana jana sina hili wala lile simu yangu inaita kucheki ni nani anapiga nakuta ni ex wangu (huyu huwa tunapasha kiporo) tukapiga story mbili tatu nikamwomba appointment akaridhia tukaagana.,,,,dk moja kupita sms inaingia ni yeye akinambia anashida na 30k.