Recent content by Mnhamba jr

  1. Mnhamba jr

    Kuna demu nilitaka kumuacha akaniwahi nifanyeje aisee sijawahi kuachwa na demu

    achana nae, kubali na kama amekuandikia sms mwambie "sawa" usiongeze neno. Utaanza kuumia wewe lakini ukipona nae ataanza kupitia hali uliyopitia. Man up.
  2. Mnhamba jr

    Wanawake, wallahi wanajua kuomba pesa, na hawachoki!

    Ha ha ha haaa,,,,,basi bhana jana sina hili wala lile simu yangu inaita kucheki ni nani anapiga nakuta ni ex wangu (huyu huwa tunapasha kiporo) tukapiga story mbili tatu nikamwomba appointment akaridhia tukaagana.,,,,dk moja kupita sms inaingia ni yeye akinambia anashida na 30k.
  3. Mnhamba jr

    Nipeni Mbinu za kushinda vita za makazini, naona vita imekua kubwa

    Pole sana mkuu na hakika vita ni karibia sehemu nyingi makazini ila jipe moyo. Binafsi nilipohitimu chuo nkapata kibarua mahali fulani kitengo kizuri tu na kuna mtu alinipisha yeye akapangiwa sehemu nyingine lakini ni ya chini,,,,aiseee vita ile ilichachamaa jamaa akawashawishi wafanyakazi wengi...
  4. Mnhamba jr

    Ndoa ni ngumu wakuu! Hebu fikiria uungane na mtu ukubwani halafu uanze kumletea sheria zako

    hakika mkuu, mie nimeoa mwaka 2021 mapema tu baada kutoka chuoni. Wote ni graduates ila sasa utofauti wetu ambao hadi sasa ugomvi hauishi ni kwamba mimi napenda sana manukato ila mwenzangu yeye hapendi aiseee,,,,,kila siku asubuhi lazima tugombane. Huwa namuuliza mbona hata siku ya kwanza...
  5. Mnhamba jr

    Mkenya aliyekamatwa na dawa za kulevya Vietnam kunyongwa Machi 17, 2025

    ikiwa atanyongwa basi atakuwa amekufa kishujaa, si yeye pekee bali wengi tunatamani kutafuta maisha nje na mipaka ya Africa. Huyo John nae atabaki na huzuni siku zote mana alimfanya punda margareth asijue amebeba nini. Ingekuwepo mikataba ya kubadilishana wafungwa kati ya kenya na Vietnam huenda...
  6. Mnhamba jr

    Wanandoa kununiana mwisho inatakiwa kuwa siku ngapi?

    maliza ugomvi kwa vitendo, wanaume huwa hatuongei sana bali hutenda. Kamata piga pumbu haswaaa kisha kaa nae mbali kwa masaa kadhaa uone kama hajaanza kutuma vi-sms. Hii mbinu alinifundishaga uncle wangu na kweli imenisaidia sana.
  7. Mnhamba jr

    Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

    mkuu hapo usicheke na kima simamia hapo hapo, hakikisha dogo anaishi vyema ili awe na morale ya kazi. Hawa viumbe "ke" nao wana madhaifu yao ikiwemo ubinafsi
  8. Mnhamba jr

    Huwa unafanya nini siku ya birthday yako?

    Hapo namba 10 kumi tupo wengi Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
  9. Mnhamba jr

    Ana Mimba yangu ila nimebaini anani-cheat kirahisi sana

    Kwa miaka ya sasa kuanzisha familia ni swala la mbinde sana yaani mtiti kweli kweli. Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
  10. Mnhamba jr

    Msaada; vidonda vya tumbo vinanitesa sana.

    anatumia jina huko mjini Instagram? Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
  11. Mnhamba jr

    Msaada; vidonda vya tumbo vinanitesa sana.

    Anhaaa,, hapo kwenye milo ntarekesbisha mana me huwa napiga chai saa5 hadi usiku tena mana huwa sijisikii sana kula ( hii hali tangu utotoni sio mlaji sana) Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom