Recent content by Mng'ongo

  1. Mng'ongo

    Natafuta Kioo cha Samsung A5 ya 2016

    Habari km una kioo cha hiyo simu tajwa tuwasiliane kiwe na rangi nyeusi kikiwa used itapendeza zaidi
  2. Mng'ongo

    Mashine ya kufungia ina hitajika

    Habari wakuu nahitaji Machine ya kufungia vifuko vya nailoni iwe ya kawaida tuu Hata ikipatikana ilio tumika sio mbaya kikubwa ipige kazi 0783935231 tuma msg kwenye namba hii km uko nayo
  3. Mng'ongo

    Gari ipi inafaa kwa Uber?

    Nasikia Uber hawa wataki wateja wenye mizigo ni kweli?
  4. Mng'ongo

    Natafuta chumba cha kupanga

    Mombasa vipi? karibu na kituo cha kwa Mahita njia ya kwenda moshi bar chumba kikubwa pia ni self kipo karibu na barabara
  5. Mng'ongo

    Biashara

    Nataka hizo trei km za salun
  6. Mng'ongo

    Vitu nilivyojionea nikiwa ndani ya nchi ya Congo

    Ha ha ha jamaa katuuzia chai [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  7. Mng'ongo

    Ufalme wa P Funky Majani ndani y East Africa!

    Daah ume nikumbusha mbali san hizo myimbo mkuu nipo primary hiyo Majani ni mtu sana tuki enjey sana Bongo fleva kizaz chetu
  8. Mng'ongo

    Historia ya Komandoo Tarimo

    Ana zingua huyu huu utoto sasa alio leta.
  9. Mng'ongo

    Tunatoa huduma ya Printing

    Sawa kiongozi
  10. Mng'ongo

    Tunatoa huduma ya Printing

    Nipe bei OG hiyo offer ya mpito tuu nataka tufanye biashara endelevu mkuu! Ni Mp namba yako
  11. Mng'ongo

    Tunatoa huduma ya Printing

    Ku print sticker ktk karatasi ya A4 vitoke visticker 15 ni Tsh ngapi ktk @A4
  12. Mng'ongo

    Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

    Awe mkweli tuu kuwa alihonga kwa mchuchu maana km in two weeks alafu tume exchange na msela lazima nikurudishie bomu lako
Back
Top Bottom