Recent content by mng'ato

  1. mng'ato

    Naomba kufahsmishwa jinsi ya kutofautisha IST ya cc1200 vs IST ya cc1400

    Ye anataka kujua zikiwa zimepark mkuu(yaani bila hata kufungua boneti).
  2. mng'ato

    Hivi TBS hawaoni hizi charger fake za simu zinazolipuka kila siku?

    Daah nimeuliza tu maana ili upate charger org. Inabidi uwe na Simu org.
  3. mng'ato

    Pendekezo: Charles Kimei ateuliwe kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

    Nimekumbuka kipindi kile wanasema Mengi anataka urais,nilicheka sana maana Mengi ye mwenyewe kujieleza tu ilikua changamoto sijui kwny hadhara angeongea nini. Labda angepata upepo Kama wa Lowassa
  4. mng'ato

    Serikali inayobadilisha maamuzi yake kwa kutegemea upepo ni Serikali dhaifu, haifai

    'Hata JK hakuwa dhaifu hivi. Tulimpigia kelele kweli JK kuhusu safari zake but the man believed he was doing the right thing kwa masafari yake yasiyoisha. Na huyu mzee alisafiri hadi sekunde ya mwisho. Kiongozi wa aina yoyote ile anayestahili kuwa kiongozi lazima aamini katika maamuzi yake na...
  5. mng'ato

    Mshahara na siku kuu ya iddi

    Subiri hapo hapo motivational speaker watakuja kukuuliza kwanini unategemea mshahara?
  6. mng'ato

    Kodi ya simu ni sawa. Kodi ni jukumu la kila Mtanzania

    Na matokeo ya uzalendo wa Wananchi wa Ethiopia tunayona, kila siku wao kukamatwa wakikimbia nchi yao na kufia kwny malori huku Tz. Huo ndio uzalendo.
  7. mng'ato

    Pendekezo: Charles Kimei ateuliwe kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

    CCM sio wa mchezo mchezo wameshamharibia Mwigulu ndoto zake za kugombea urais maana atakua akitajwa tu popote pale wananchi wanamkumbuka kwny tozo. Inshort kabebeshwa furushi la 'mavi'.
  8. mng'ato

    Pendekezo: Charles Kimei ateuliwe kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

    Corporate vs Public Sector ni vitu viwili tofauti. Bureaucracy huku kwny public sector ni hatari,Kule amezoea Board of directors wakishapitisha tu Jambo lao utekelezaji unafuata tu fasta Sasa akija huku serikalini hio mlolongo wa tangu wazo limeibuliwa, approval mpk implementation atakubali...
  9. mng'ato

    Picha kali za Instagram na Facebook ni tatizo kwa vijana wa leo

    Hahah Maisha ya ku pretend mitandaoni hayo mkuu. Maisha yako binafsi ya Bata unahitaji kuyaonyesha mitandaoni ili mtu upate approval kutoka kwa Nani?Msongo wa mawazo is real mkuu.
  10. mng'ato

    Picha kali za Instagram na Facebook ni tatizo kwa vijana wa leo

    Virtual happiness is seldom connected to the genuine happiness in real life.
  11. mng'ato

    Nani kamtuma Shigongo atoe siri kwamba Hazina imekauka?

    Daah mbona hela ndogo mkuu.
  12. mng'ato

    Challenge: show your hand watch.(saa ya mkononi)

    Ungeweka Kwanza yako uliyovaa na sio hizo za ku download mitandaoni.
Back
Top Bottom