Recent content by Mneneey

  1. M

    Na Kondom nayo ikachanika

    Pima sasa afu rudia baada ya miezi mitatu.
  2. M

    Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

    Pima ukimwi Dada... Hiyo nayo ni dalili moja wapo. Pole sana.
  3. M

    Six ways men can escape poverty

    Hii lugha ya malkia hii[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] ....am dead!
  4. M

    Six ways men can escape poverty

    [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] hutaki kuombwa
  5. M

    Hivi ni mimi mwenyewe au na nyie wanaume wenzangu inawatokea?

    [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] I am here for the comments!! Anza kuvaa brazia zake ndani ya hiyo mashati anayotanua kifuani[emoji87]
  6. M

    Ushauri: Ununuaji wa magari

    Nina milioni 12 nahitaji gari SUV, je naweza kupata gari aina gani kutoka Japan?!
  7. M

    Wadau naomba ufafanuzi wa Mazda Tribute

    Inamaana Mazda haina resale value kabisa?
  8. M

    Wadau naomba ufafanuzi wa Mazda Tribute

    Sasa inakuwaje Congo wayaweze sisi tuyashindwe?!
  9. M

    Wadau naomba ufafanuzi wa Mazda Tribute

    Je, ni gari yenye matatizo gani? Ulaji wa mafuta, upatikanaji wa speya, anatembea vzuri kwny barabara zetu? Kwa used bei zake kwa madafu zinarange vipi? Naomba msaada, nimeona mtandao nikaipenda naazimia kununua so mawazo yenu yatakuwa ya msaada sana.[emoji120] [emoji120] Sent using Jamii...
Back
Top Bottom