Pinkman
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 707
- 1,538
Wakuu kwema?
Mke wangu nampenda sana lakini ananikera sana kitu kimoja, kuvaa nguo zangu mimi napenda sana kuvaa T shirts sasa kila mara huyu shemeji yenu nakuta kavaa t.shirts zangu.
Nilihisi labda anapenda tshirts hivyo tulienda shopping na alichagua anazozpenda yeye nikamnunulia Lakini pia kama haikutosha na zile alizokuwa ameshazivaa niliacha kuzivaa kwa sababu anazivaa na mimi nikija kuzivaa kifuani aiseeh sijui zinakaaje, na mtaani pia huwa anapita nazo.Kuepusha tabu nikazimwachia.
Lakini hiyo tabia haijafa yaani ikafika mahali nikamwambia lakini wapi? Wakati mwingine anavaa analala nazo kabisa yaani.
Sasa juzi nilikuja na tshirt ambayo ni sare ya office kwenye event, daah kurudi nyumbani jana yaani nakuta ameshaivaa kabla hata ya event yenyewe.
Nikimuuliza anadai anapenda tuu leo nimeamua kununua mashati ya kutosha na kuamua kuagana na tishirt rasmi.Naona jioni hii ameamia kwenye masweta yangu.
Siyo kwamba sipendi avae nguo zangu shida ni moja anazitanua kifuani na wakati mwingine anashindia au kulala nazo kabisa, hapo bado boxer.
Wakuu wa busara mliopo kwenye ndoa hii mmeshakutana nayo huwa mnalidhibiti vipi?
Mke wangu nampenda sana lakini ananikera sana kitu kimoja, kuvaa nguo zangu mimi napenda sana kuvaa T shirts sasa kila mara huyu shemeji yenu nakuta kavaa t.shirts zangu.
Nilihisi labda anapenda tshirts hivyo tulienda shopping na alichagua anazozpenda yeye nikamnunulia Lakini pia kama haikutosha na zile alizokuwa ameshazivaa niliacha kuzivaa kwa sababu anazivaa na mimi nikija kuzivaa kifuani aiseeh sijui zinakaaje, na mtaani pia huwa anapita nazo.Kuepusha tabu nikazimwachia.
Lakini hiyo tabia haijafa yaani ikafika mahali nikamwambia lakini wapi? Wakati mwingine anavaa analala nazo kabisa yaani.
Sasa juzi nilikuja na tshirt ambayo ni sare ya office kwenye event, daah kurudi nyumbani jana yaani nakuta ameshaivaa kabla hata ya event yenyewe.
Nikimuuliza anadai anapenda tuu leo nimeamua kununua mashati ya kutosha na kuamua kuagana na tishirt rasmi.Naona jioni hii ameamia kwenye masweta yangu.
Siyo kwamba sipendi avae nguo zangu shida ni moja anazitanua kifuani na wakati mwingine anashindia au kulala nazo kabisa, hapo bado boxer.
Wakuu wa busara mliopo kwenye ndoa hii mmeshakutana nayo huwa mnalidhibiti vipi?