Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

Ngoja tusome nae namba kwanza manake haya matatizo wametuponza wenyewe. Acha atie akili
Umeonaa eenh! Alijitoa akili mwenyewe.... akijua atalipwa kwa cheo... kaona kimya ameamua kulia lia na cha kushangaza bado kaachwa hewani bila malipo...
 
Please remind me why do I love you?
Afu movies alhamis ndio real deal, buku 5 tu. Friday ni 12,000/- labda Paw atupe ofa.

umemaliza. Urembo uko ndani.
meshibajeee!
Sa skia!
ACHANA NA KUJITAZAMA UNAANGUKA KATIKA NINI ,TAZAMA U BORA KATIKA NINI!
ITAKUSAIDI KUONA ULIVYO WA THAMANI NA KUUVAA UTHAMANI HUO!
LAKINI ITAKUSAIDIA PIA HATA KUTAFUTA MATIBABU WITH A POSITIVE MIND,KWA IMANI KUWA HIYO SIO LAANA!

kwa kuanzia
hebu badili mfumo wako wa ulaji
kula zaidi mboga za majani maji kwa wingi,amtunda
punguza au acha kabisa matumizi ya nyama nyekundu hususan ya ng'ombe.
pumzika muda mrefu
lala mapema
fanya mazoezi
achana na kutafuta kimbilio la kula kila unachokiona kufidia upweke wako!
halaaaafu kingine hebu tafuta hobbies na uziishi
angalia movie
ongea umbea wa insta(enh story za ally kiba na jet yake na zenyewe zinasogeza siku)
jifunze mapishi mapya
anzisha kajiproject hapo home,maua,fuga kuku,paka (UKIONA VIUMBE WENGINE WANAKUA NA KUFURAHI KWA AJILI YAKO IT WILL GIVE UR LIFE A TOTAL MEANING OF EXISTENCE NA KUTEGEMEANA )
furahia marafiki ulio nao,tumia vipawa vyao kuwa na furaha!
nenda uangalie movies(mlimani city kuna kichupa cha hatar Dec 02 ,yani ijumaa hii!)kama upo dar nenda asee
saidia wengine kufurahi,utaona kuwa maisha yako yana thamani kwa wengine kwa vile watakavokuthamini!

HIVI UKIMIX NA MSAADA WA KITABIBU KAMA KUCHECK DAMU,NA KUPATA DAWA NA KUZITUMIA!
aseeeeee utaona maisha yalivyo jambo jema na a kheri WITH OR WITHOUT NGOZI YA KUTELEZA KAMA UNAOGEA MAYONAISE!
sawa?
HEBU FANYA HII uje unipe feedback by pasaka mwakani!
 
Naungana na waliokushauri ukapime damu na pili nenda mbele za Mungu anaponya na utashangaa. Kama ni ugonjwa toka kwa mwanadamu ukiamini utapona haraka sana.
 
Please remind me why do I love you?
Afu movies alhamis ndio real deal, buku 5 tu. Friday ni 12,000/- labda Paw atupe ofa.

umemaliza. Urembo uko ndani.
hihihihi nipeleke movie jumapili na ijumaa,na kakikombe ka smooch please!
Paw mwenyewe ana mikurabita na mishirikuta tukimsubiri litatuchwea nyonyo!
 
una aleji ww,ukitaka mwanaume aje usimtege deal na tabia yako nafanya mambo ya msingi hlf ridhika na hali yako watakuja automatic
 
Kuokoka ni muhimu lakini ni uchanga wa kiroho,udini na upotoshaji kusema waliookoka wanapatikana kwenye baadhi ya madhehebu machache kama hayo uliyoyataja,Mungu hana mipaka ya kidhehebu pole.
Ni kweli usemayo ndugu na katika aya ya mwisho mwenyewe kapingana na hizo aya zake za mwanzo.
 
Nakubaliana na kila anayesema uzuri upo ndani kwa mhusika na siyo ngozi, kuanzia snowhite mpaka king'asti wameongea vyema.

Nilimpenda binti yeye uso wake una kama vipele na makovu ya hapa na pale aliniambia ana fangasi ndiyo zinamsumbua, kuna kipindi ikifika hizo fangasi zinamtambaa mpaka kwenye nyayo anatumia dawa kwa muda fulani anakua poa ila za usoni tu hazijamtoka kabisa.

Kila mtu alishika njia yake siyo kwa sababu ya uzuri la, ila amenizidi miaka 8 kwahiyo alikua ananiona sina future naye wakati yeye umri unaenda na huku dini zetu zipo tofauti.

Jana nimekutana naye tukiwa tunafuatilia transcript bado namuona mzuri vile vile, naamini hata wewe kuna anayekuona mzuri unachotakiwa kufanya ni kubadilisha attutude yako tu mengine yatafuata mkondo.
 


Mamboz,

Jamani kama mnakumbuka nilikua natafuta mchumba na hali yangu niliyonayo, wengi walijitokeza wakidhani natania labda, walihisi mimi ni mzuri sana ila natania.

Kusema ukweli nipo kama nilivyosema na nimerudi tena kuomba msaada kwa anaejua dawa ya makovu tafadhali, sio ya ajali yani yanatokea tu hata nikijikuna kovu linabaki, pia nikiumwa na mdudu lazima kovu libaki,nikijikwaruza kidogo bas kovu hilo.

Wanaume pia hawaniangalii hata mara mbili, niko mpweke, sina hata mwenza.

Nachukia sana ngozi yangu na sijui shida ni nini, naomba tafadhali kwa anaejua dawa ambayo itanifaa.

Wanawake wenzangu nisaidieni, kina baba, kina kaka naombeni mnitajie dawa itakayoondoa makovu haya jamani.

Bio oil nimejaribu haifanyi kazi, aloevera hua napaka sioni matokei, limao pia hakuna kitu.

Najisikia vibaya sana, mda mwingine hua nikijiangalia nalia tu, why me?

Msaada wenu ndugu zangu tafadhali.
 
Hayo makovu yapo hadi usoni?Pole ndugu jaribu kwenda kwa madr. wa ngozi.
 
Huwa sometimes wanasema "Less is better"

jaribu kutotumia kitu chochote kwenye ngozi (mafuta/lotion) kwa muda kama wiki tatu halafu tuone kama itakusaidia

Kwa kiasi fulani hata mimi imenisaidia kupunguza makovu. ila nikianza tu kutumia mafuta au sabuni zenye marashi, pimples zinaanza tena
Mamboz,

Jamani kama mnakumbuka nilikua natafuta mchumba na hali yangu niliyonayo, wengi walijitokeza wakidhani natania labda, walihisi mimi ni mzuri sana ila natania.

Kusema ukweli nipo kama nilivyosema na nimerudi tena kuomba msaada kwa anaejua dawa ya makovu tafadhali, sio ya ajali yani yanatokea tu hata nikijikuna kovu linabaki, pia nikiumwa na mdudu lazima kovu libaki,nikijikwaruza kidogo bas kovu hilo.

Wanaume pia hawaniangalii hata mara mbili, niko mpweke, sina hata mwenza.

Nachukia sana ngozi yangu na sijui shida ni nini, naomba tafadhali kwa anaejua dawa ambayo itanifaa.

Wanawake wenzangu nisaidieni, kina baba, kina kaka naombeni mnitajie dawa itakayoondoa makovu haya jamani.

Bio oil nimejaribu haifanyi kazi, aloevera hua napaka sioni matokei, limao pia hakuna kitu.

Najisikia vibaya sana, mda mwingine hua nikijiangalia nalia tu, why me?

Msaada wenu ndugu zangu tafadhali.
 
Njia nyingine ya uhakika kwa wenye uhakika.

Amua kuokoka kweli kutoka moyoni, nenda kwenye kanisa la watu waliookoka KWELIKWELI kama T.A.G au E.A.G.T kisha wambie watumishi UNATAKA KUOKOKA, kisha watakuongoza kupokea wokovu.

NB: Si kila tatizo linaweza kutibiwa kwa dawa. Mengine yanasababishwa na nguvu za giza hivyo JINA LA YESU PEKEE LINAWEZA KUKUOKOA.

Kama kweli umeamua kuokoka kutoka moyoni, wambie wakuombee tatizo lako la ngozi, watakuombea utapona kama una imani kwamba Mungu anaweza pia kama umemaaishisha kumfata Mungu/kudumu katika wokovu mpaka mwisho wa maisha yako.

NB: Usiende kuokoka kama unakwenda kujaribu utapona au la! Bali nenda kaokoke kwa kumfata Mungu bila kujali kama atakuponya au hatakuponya. Kwani Wokovu utakupeleka mbinguni. Pia Ukiokoka Mungu anaweza kukuponya magonjwa na matatizo yako yote.

Wokovu si dini, bali ni mabadiliko ya NAFSI yanayofanywa na Mungu kwa yeyote anayempokea Bwana Yesu ili amuokoe na dhambi na jehanamu ya moto.
Watumishi mna mambo...... huyu dada umesoma tatizo lake unamwambia aamue kuokoka then unamwambia tena Usiende kuokoka kama unakwenda kujaribu utapona au la! Sasa nini kimekufanya umwambie aokoke?
 
Mamboz,

Jamani kama mnakumbuka nilikua natafuta mchumba na hali yangu niliyonayo, wengi walijitokeza wakidhani natania labda, walihisi mimi ni mzuri sana ila natania.

Kusema ukweli nipo kama nilivyosema na nimerudi tena kuomba msaada kwa anaejua dawa ya makovu tafadhali, sio ya ajali yani yanatokea tu hata nikijikuna kovu linabaki, pia nikiumwa na mdudu lazima kovu libaki,nikijikwaruza kidogo bas kovu hilo.

Wanaume pia hawaniangalii hata mara mbili, niko mpweke, sina hata mwenza.

Nachukia sana ngozi yangu na sijui shida ni nini, naomba tafadhali kwa anaejua dawa ambayo itanifaa.

Wanawake wenzangu nisaidieni, kina baba, kina kaka naombeni mnitajie dawa itakayoondoa makovu haya jamani.

Bio oil nimejaribu haifanyi kazi, aloevera hua napaka sioni matokei, limao pia hakuna kitu.

Najisikia vibaya sana, mda mwingine hua nikijiangalia nalia tu, why me?

Msaada wenu ndugu zangu tafadhali.
Kipindi niko mdogo niliumwaga tetekuwanga( huu ugonjwa ukipona unabaki na mabaka mabaka mwili mzima kama fisi), nakumbuka baada ya kupona bimdashi alikua anatumia kiazi mbatata anakisugulia kwenye madoa na yalipotea yote kabla hata mwezi mmoja kuisha. Jaribu na wewe kutumia labda inaweza kukusaidia pia
 
Kuna vyakula vya asili na viungo vya asili unaweza kupaka au kula vitakusaidia sana , viungo kama vitunguu swaumu , mafuta ya nazi, nk nicheck pm ntakupa ushauri nini utumie kwa tatizo lako na vyakula kama nyama kama unaweza acha kabisa, soda acha nk jitahid maji mengi unywe ni tiba sana
 
Back
Top Bottom