Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,363
- 9,739
Umeonaa eenh! Alijitoa akili mwenyewe.... akijua atalipwa kwa cheo... kaona kimya ameamua kulia lia na cha kushangaza bado kaachwa hewani bila malipo...Ngoja tusome nae namba kwanza manake haya matatizo wametuponza wenyewe. Acha atie akili