Ndugu yangu wakati mwingine,tumia akili kidogo.Huyu dada ni mwanasheria wa Serikali,na haruhusiwi kuwa na mrengo wa kisiasa,mpaka aache hiyo nafasi.Tunachouliza,kama alikuwa mwanasiasa,wakati bado ni mtumishi wa umma,je,aliweza kutenda haki kwa watu wa vyama vingine?.Je,na kama...