... tena ni waziri muandamizi katika seriksli... kiongozi wa ngazi ya juu kabisa CHADEMA, Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa na mjumbe wa baraza kuu taifa, ...
WYule jamaa toka ule mkoa. Anaratibu maandamano balaa!habari za kipuuzi kabisa,tuambie ni mwenyekiti mkoa gani na anaitwa nani?
watu waanjadili mambo ya msingi kwa taifa yeye analala fofofo, poor maccm HAMNA PHOTOSHOP HAPO![]()
Uyu je naye ukawa?
Wapi kwenye habari yako panapoonyesha kuwa CHADEMA imemkingia kifua? Ndugu,uwe unaelewa kwanza habari yako kabla ya kuileta hapa. Bure kabisa!
WanaJF,
Kwa kipindi kirefu tu CHADEMA walikuwa wanamkebehi mzee Wassira kwa tabia yake ya kulala Bungeni, lakini wakati huo huo CHADEMA inawakingia vifua viongozi wa chama chao wanao kutwa wakiwa wamelala fofofo kwenye mikutano ya chama chao.
Mtazame mwenyewe huyu kiongozi wa ngazi ya juu kabisa CHADEMA, Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa na mjumbe wa baraza kuu taifa, akiwa amelala fofofo mkutanoni wakati hotuba iliyopooza ya Mbowe ikiwa inasomwa!
View attachment 307458
![]()
Uyu je naye ukawa?
..usisahau na Spika wa Bunge Job Ndugai aliyekuwa akisinzia wakati wa hotuba ya Raisi.
..hawa watu labda ni WAGONJWA hivyo tuwe na subira ktk kuwalaumu.
WanaJF,
Kwa kipindi kirefu tu CHADEMA walikuwa wanamkebehi mzee Wassira kwa tabia yake ya kulala Bungeni, lakini wakati huo huo CHADEMA inawakingia vifua viongozi wa chama chao wanao kutwa wakiwa wamelala fofofo kwenye mikutano ya chama chao.
Mtazame mwenyewe huyu kiongozi wa ngazi ya juu kabisa CHADEMA, Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa na mjumbe wa baraza kuu taifa, akiwa amelala fofofo mkutanoni wakati hotuba iliyopooza ya Mbowe ikiwa inasomwa!
![]()