Recent content by mndewaerasto

  1. M

    Mtoto ana mwaka na miezi 7 na mama yake ana ujauzito ila afya ya mtoto kama inazorota

    Weka wazi mimba ni miezi mingapi Fanya hivi Muachishe mtoto kunyonya maziwa ya Mama Muweke mbali na mama ake na asilale nae Muanzishie lishe maalumu uji wa ulezi hakikisha unaweka mbegu za maboga maziwa ya ng,ombe wa kienyeji ya kimasai kabisa kama kuna shangazi au mama ake mdogo alale nae...
  2. M

    Shida ya gesi tumboni

    Pima maleria utakuja kunishukuru kaka
  3. M

    Nashindwa kumsamehe huyu mpenzi wangu

    Hatuwez kukuamulia unachoamini we amua tu mkuu ndoa au useja
  4. M

    Fitina na Uhuni behind draw za CAF, tukomae tu

    Ulitaka Simba na yanga wacheze na team zipi labda ili isiwe fitina
  5. M

    Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

    Alafu aliaomba report ya mpunga kule jikoni vipi alipewa na inasemaje maana naona kmya mpka leo
  6. M

    Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

    Lakini jambo si la kitabu kwani witch akisema tayari unadhani anaweza ku kam baki
  7. M

    Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

    Kusonga bila kuwa na uhakika kama ikitokea tena tunaweza kupata nyeti kwa wakati pia inapendeza kumbuka hapo juu mwamba kasema kupata nyeti sasa hivi sio favour ni haki
  8. M

    Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

    Kusonga bila kuwa na uhakika kama ikitokea tena tunaweza kupata nyeti kwa wakati pia inapendeza kumbuka
  9. M

    Nimebaini mke wangu amezaa nje ya ndoa na amekiri, naombeni ushauri

    Broh pole kipindi kigumu sana kama una amani naomba tuliza nafsi na pia fanya kila kitu kutuliza nafsi yako pia zingatia malezi ya watoto wakue vzuri pole sana kaka
  10. M

    Nimeamua kuwa na Mchepuko. Mke Haeleweki, mawasiliano kila siku na wakwe, mashemeji, mawifi, wa X- Wake

    Kaka japo inauma ila naomba jali familia yako cha kwanza umekosea kuuza nyumba ulitakiwa ujenge iishe alafu unahama na wanao kmy kmya bila yeye kujua ila kuuza nyumba hujanifurahisha watoto wako ndiyo ndugu yako wa kwanza katika maisha
  11. M

    UWABATA: Nina 1300 Baby!

    Kwa niaba ya wabahili wenzangu kutoka makao makuu na kwa mamlaka niliyopewa nakupa chao cha assistant Master nikiwa mimi senior master wa ubahili nitakuongoza zaidi ukue katika ubahili
  12. M

    Mungu na dini ni vitu viwili tofauti. Mungu hasomi wala haandiki

    Kuna vitu fikirishi sana ila tuendelee kusali kwa imani zetu
  13. M

    ZANZIBAR: 9 Died & 78 People Hospitalized After Eating Sea Turtle Meat On Pemba Island

    I think if currently the turtle become poison meat the must first observe where they fail maybe the problem is preparation some parts of kasa are healthical danger to humans hence they should pay attention processing the turtle
  14. M

    Mkiambiwa mke wa mtu sumu nimeamini sumu kweli

    Kukuangalia jicho tu ni sumu?
Back
Top Bottom