Mbona wanapinga mpaka sahizi kama #nyukilia vile na ndo maana Korea kaskazini aliamua kujitoa maana haiwezekani mmarekani yeye atengeneze harafu wengine anawakatalia kutengeneza
Utasikia yaani mme ang hafurukuti Kila kitu nikimwambia ananifanyia yaani yupo kiganjani hachi a Mungu anakula za uso za kutosha nampeleka kwao na uchafu huo alioufanya ili wajue alivomchafu that's my action angekua wakwangu huyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.