Recent content by mnazarethi

  1. M

    Mahakama ya Kadhi imekataliwa kwenye Rasimu ya katiba-Bunge maalum

    Kutambuliwa cyo lazma iwe kwenye katiba....., mahamakama za mwanzo, mahakama za wilaya na mahakama za hakimu mkazi hazipo kwenye katiba lakini znatambulika maana kuna sheria imezianzisha, hivyo km waislamu wanahitaji mahakama ya kadhi inaweza kutungwa sheria ya kuzianzsha km magistrates court...
  2. M

    Kuhusu Raia wa Kweli Katika Nchi Zetu Kabla na Baada ya Uhuru!

    mwandishi wa hyo makala naona anapotosha tu, hajui kabla ya ukoloni kulikuwa hakuna mipaka? watu walikuwa wanaishi popote na kwenda popote kwa hyo hoja ya kwamba cjui wachaga wametoka Kenya mara wamakonde wametoka msumbiji haina mashiko, kwa hyo anataka kutuambia Tanzania ilikuwa iko empty...
  3. M

    Swali Rahisi: Nyerere aliwashughulikiaje Waganda "Illegals" wakati wa "chokochoko" Za Idi Amin?

    ni kweli binadamu wote ni sawa, ila lazima wafuate taratibu na sheria na taratibu zilizopo, we mwenyewe huwezi kwenda kwa mtu ukaingia tu, lazima upige hodi ukaribishwe uoneshwe wapi ukae, huo ndo utaratibu, angalizo agizo halijasema wanyarwanda haramu, limesema wahamiaji haramu.
  4. M

    Malawi paper calls Kikwete a 'Bloodthirsty Leader'

    ucwe na akili fupi, ya kufikiria ndani ya box la siasa tu. maana cku hata kichwa kikiuma utasema kikwete kasababisha.
  5. M

    Malawi paper calls Kikwete a 'Bloodthirsty Leader'

    jamani tuwe tunafikiria mbali kdogo tusiwe na akili fupi.........., jaribu kutofautisha jambo la kitaifa na usichanganye siasa katika jambo lenye mustakabali wa taifa, hata kama humkabali kikwete kisera na kiitikadi, angaalia ni mahali gani pa kuonesha hivyo, ugomvi wa Malawi na Tanzania kuhusu...
  6. M

    Nyerere na dhulma kwa Zanzibar

    tuwewachoka kwa kulalamika kila wakati, mnalalamiiiiiiika, huku mmejazana tu Tanganyika mnazaliana utafikiri.
  7. M

    Ninachojifunza uchaguzi wa Arusha kwa faida ya walioshindwa

    mliona sifa wenyewe kutumia nguvu, mmevuna mlichopanda
  8. M

    Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

    mtu anapomtukana rais wa Tanzania maana yake ametutukana watanzania, anaposema atampga kikwete anamaanisha ataipiga TZ, lazima tumjibu, hatuwezi kukaa kimya, hapo tunaungana kwa pamoja kuresponse maana hii nchi ni ya kwetu.
  9. M

    Tanzania is among top 10 Fastest growing Economies in the World

    Nakuunga mkono kabisa yaani watu wametiwa upofu wa uchadema, uccm, ucuf n.k kila kitu kila jambo tunaleta upinzani wa kisiasa. tunanguliza sana siasa katika kila kitu hata kama facts ziko wazi kabisa.
  10. M

    Ujio wa Obama: Kenya says 'All lions in Tanzania are Kenyan'

    remember he is not Kenyan but he is American, nafikiri hilo wakenya wanasahau hilo, wanafikiri ni mkenya
  11. M

    Prime minister wa Zanzibar akihutbia UN Dec 1963

    naona wanzibari wanapata shida kweli, kama kiti bado kipo UN mbona swala rahisi tu endeleeni kukitumia kama zamani, si mna bendera, wimbo wa taifa nk, general assembly inayokuja raisi wenu aende.
Back
Top Bottom