Nyerere na dhulma kwa Zanzibar

Nyerere na dhulma kwa Zanzibar

tumewachuka waznz mwacheni mzee wa watu apumzike kila kukikucha nyie na nyerere tu.


mkuu apumzike au ale virungu hata akipiga makelele kaburini

kwani ukweli ni mtamu, lakini ipo haja ya kuukubali sometimes
 
tumewachuka waznz mwacheni mzee wa watu apumzike kila kukikucha nyie na nyerere tu.

hayo ni mazungumzo baada ya habari tu mkuu,

Tanganyika muetuibia sanaaa, sisi znz

yaani hata ada ya air services, zile ndege zinazopita katika anga ya znz pesa munakula nyinyi tanganyika,

watalii muanwalazimisha wakate viza makwako ili wakifika znz wasinunuwe viza na pesa hafiki znz ,

TRA inakusanya kodi yetu znz wanaondoka na mabegi ya manoti kila siku pesa zinaenda kutumika tangayika

zantel muliiblock isifanyekazi tanganyika kwa miaka, lakini mashirika ya tanganyika yalifanyakazi znz, ushenzi tu

kwahivo mkuu tanganyika inailalai znz na hilo linapaswa kusemwa hadharani
 
we uchwara wacha kelele

kodi imeanzishwa na serikali ya mkapa, hakukuwa na kodi siku za nyerere na za mwinyi

Nyerere au tanganyika, wametuibia pesa zetu sisi wa znz zilokuwa nchi za nje kama akiba yetu, nyerere alikwenda juu chini hadi zikaletwa bank kuu ya tangayika, huu ulikuwa wakti wa jumbe,

ilipoundwa bank kuu ya tanganyika znz ilichangia 11% leo munatupa 4.5% nani mwizi hadi hapo?

Hivi Zbar kuna pesa gani? Unazungumzia mlizorithi kwa sultan zile za biashara ya utumwa au zile za kuuza mwani? Mtu mjinga na muflis hukumbuka mali za babake kwa ajili ya maisha yake ya baadaye. Yaani unakumbuka vijisenti vya mwaka 1964 wakati senti tano ilikuwa hela na sasa walio na miaka 30 hawaijui. Acha ushirikina. Bila Nyerere hata hiyo SMZ msingeiona babu yenu alishaidisolve. Mshukuruni nyerere sana
 
UNAJUA Mzee Karume alipokuwa hai alikuwa hataki masuala ya fedha na sarafu kuwa ya Muungano. Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kumtuma Waziri wake wa Fedha, Amir Jamal kuja Zanzibar lakini Mzee Karume alikataa kutoa fedha za Zanzibar kwenda Bara kwenye Benki Kuu. Nukuu ya Mama Fatma Karume!!!!!!!

Hii ilikuwa ni muendelezo wa Mwalimu Julius Nyerere kuwafanyia dhulma waznz haingii akilini vijipesa vya watu wachache kuviunganisha na Tanganyika hii ni aibu kubwa kwa mtu anaejifanya mtetezi wa wanyonge kwa wale wenzetu wa Tanganyika wanataka kumpa hadhi ya mtakatifu. duh inasikitisha sana, wadau naomba mjadala kwa hili je Mwalimu Aliwatendea Haki Wa Zanzibar? au Tz tunapenda tu kusifia chongo!

Kwanza mnatakiwa muwe na adabu mmefaidi matunda ya watanganyika kwa miaka zaidi ya 50 leo mnajifunua. Tutawakatia umeme ili muwe na adabu nyie. Hivi wanzibar mnazalisha nini mpaka kiingie kwenye muungano zaidi uvivu mlionao. Tukijitoa huko lazima mfe njaa au mnafikiri mtakula karafuu jitazameni tena.
 
Hivi Zbar kuna pesa gani? Unazungumzia mlizorithi kwa sultan zile za biashara ya utumwa au zile za kuuza mwani? Mtu mjinga na muflis hukumbuka mali za babake kwa ajili ya maisha yake ya baadaye. Yaani unakumbuka vijisenti vya mwaka 1964 wakati senti tano ilikuwa hela na sasa walio na miaka 30 hawaijui. Acha ushirikina. Bila Nyerere hata hiyo SMZ msingeiona babu yenu alishaidisolve. Mshukuruni nyerere sana

it doesnt matter pesa tulipo ipata popote pale lakini nyerere aliiteka nyara na kuipeleka tanganyika

mkuu usiamshe yaliolala, wewe inaonekana hujui kilojiri baina ya znz na tanganyika, unadhani sisi tukilalalmika inakuwa niushabiki tu?
 
Zanzibar wapewe talaka wanayoidai. Mzanzibari,Mwinyi ,anaweza kuja bara kuwa Rais,lakini Mtanganyika hawezi kuwa Rais wa Unguja. Hivyo ndivyo Wazanzibari wanavyoonewa.
 
we uchwara wacha kelele

kodi imeanzishwa na serikali ya mkapa, hakukuwa na kodi siku za nyerere na za mwinyi

Nyerere au tanganyika, wametuibia pesa zetu sisi wa znz zilokuwa nchi za nje kama akiba yetu, nyerere alikwenda juu chini hadi zikaletwa bank kuu ya tangayika, huu ulikuwa wakti wa jumbe,

ilipoundwa bank kuu ya tanganyika znz ilichangia 11% leo munatupa 4.5% nani mwizi hadi hapo?

kwaiyo ulitaka tugawane pasu kwa pasu?
 
Dah sometimes huwa naona mpaka aibu kuwaita wazanzibari ndugu zangu aiseee.....
 
eowange

Zanzibar kulikuwa na pesa gani ambayo Nyerere aliichukua na kuileta Tanganyika? Inamaana kipindi anachukua hakukuwepo na watu Zanzibar?? Mbona unawakosea adabu waliokuwepo kwamba walikuwa wajinga? Ndivyo unataka kutuaminisha hivyo? Kwanini walimpa akaja na hizo hela zenu huku bara?

Unasema anataka kuamsha yaliyolala kitu kimoja ambacho Watanganyika wanawaeleza nyie Wazanzibar ni kwamba
HATUNA TUNALOPOTEZA Muungano ukivunjika na wala HATUNA TUNALOONGEZA Muungano ukiwepo kwanza mnasababisha maisha yanakuwa magumu sana huku Bara

Kuwabeba Wazanzibar ni sawa na kubeba gunia la Mavi mgongoni ni afadhali muungano ufe tu hatuoni faida ya kuwepo kwake na kutokuwepo kwake,labda tutapunguza utegemezi tu

pesa za znz alizoziiba nyerere za dhahiri ni zile pesa zetu zilizokuwa katika bank katika nchi za nje......nyerere alizitaka zije ziwekwe katika bank kuu yatanganyika, na alilipigia mbio hilo juu chini ....ilikuwa siku za jumbe hizo.....mpaka zikatiwa katika tumbo la chatu ...bank kuu ya tanagnyika

kwanini tulimruhusu ...hatukumruhusu nyerere alikuwa dikteta.....si rahisi kumzuia

kutubebe sisi waznz ni sawa na kubeba gunia la mavi...............kwanini sasa mujitwike mavi kusudi.............wachieni ngazi....hatutaki muungano na nyinyi...........isipokuwa tanganyika ndio munalazimisha muungano............tumechokaaaaaaa
 
Dah sometimes huwa naona mpaka aibu kuwaita wazanzibari ndugu zangu aiseee.....

udugu wetu upo enzi na jadi, wala sio tatizo, wengi wa wazanzibari bibi zao ni kutoka mrima, kilwa kivinje na magamoyo, mimi ni mmoja wao

muungano tumelazimishana kuanzia 1964.....huu hatuutaki, uvunjike leo au kesho
 
tuwewachoka kwa kulalamika kila wakati, mnalalamiiiiiiika, huku mmejazana tu Tanganyika mnazaliana utafikiri.
 
kwaiyo ulitaka tugawane pasu kwa pasu?

tulitaka shea yetu ya 11% ilipwe kuanzia mwaka wa kwanza wa kuundwa bank kuu

tulitaka tuheshimieane kama nchi mbili huru ziloamua kuungana

tulitaka baadhi ya wizara za muungano ziwepo zanzibar na kwa zile ambazo ziko dar basi wizara ndogo ziwepo znz

tulitaka baadhi ya balozi za nchi za nje ziliopo tz ziwe na ofisi zake zanzibar na zile ambazo zipo dar ziwe na ofisi ndogo znz, kwasababu dar sio capital city ya tz

tulitaka znz iwe na uhuru wake kama nchi kuamua mambo yake ikiwemo kujiunga na jumuiya yoyote ya kimataifa ipendayo znz mfamo OIC

Tulitaka uraisi wa tz uwe kwa zamu mara tanganyika mara zanizbar

tulitaka mabalozi wa tz waliopo nchi za nje wawe 50/50 nusu znz kutoka znz nusu kutoka tanganyika

tulitaka makamu wa raisi wa muungano awe na ofisi yake znz na kukaa znz na kuripoti kazi znz, kwasabau raisi wa tz anakaa tanganyika

nadhani umeelewa nin maana ya muungano wa nchi mbili
 
Andrew Nyerere

Zanzibar wapewe talaka wanayoidai. Mzanzibari,Mwinyi ,anaweza kuja bara kuwa Rais,lakini Mtanganyika hawezi kuwa Rais wa Unguja. Hivyo ndivyo Wazanzibari wanavyoonewa.

Mwinyi hakuwa raisi wa tanganyika, alikuwa raisi wa tz, ni tatizo lenu kuwa hamuna nchi yenu kwahivo hamuna raisi wenu

kwa ufupi mtanganyika hawezi kuwa raisi au waziri znz, na mznz hawezi kuwa raisi au waziri tanganyika siku mutakayoifufuwa nchi yenu

leo nyinyi watanganyika ni refugees tu katika nchi ya tanzania
 
hili ya wazenj kuja kuwa marais huku Tanganyika, baba yako alichemka!

Zanzibar wapewe talaka wanayoidai. Mzanzibari,Mwinyi ,anaweza kuja bara kuwa Rais,lakini Mtanganyika hawezi kuwa Rais wa Unguja. Hivyo ndivyo Wazanzibari wanavyoonewa.
 
Nyerere muuwaji mkubwa na ni Dhalimu mkubwa sana maana amewatia WaTanganyika ufukara wa hali ya juu
 
Kama mliliona je kwenye rasmu ya katiba mmelisema? Au mnasemea jf ili muonewe huruma.
 
UNAJUA Mzee Karume alipokuwa hai alikuwa hataki masuala ya fedha na sarafu kuwa ya Muungano. Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kumtuma Waziri wake wa Fedha, Amir Jamal kuja Zanzibar lakini Mzee Karume alikataa kutoa fedha za Zanzibar kwenda Bara kwenye Benki Kuu. Nukuu ya Mama Fatma Karume!!!!!!!

Hii ilikuwa ni muendelezo wa Mwalimu Julius Nyerere kuwafanyia dhulma waznz haingii akilini vijipesa vya watu wachache kuviunganisha na Tanganyika hii ni aibu kubwa kwa mtu anaejifanya mtetezi wa wanyonge kwa wale wenzetu wa Tanganyika wanataka kumpa hadhi ya mtakatifu. duh inasikitisha sana, wadau naomba mjadala kwa hili je Mwalimu Aliwatendea Haki Wa Zanzibar? au Tz tunapenda tu kusifia chongo!

Usilolijua litakusumbua! Fatma Karume ni 0 hakujua chochote kuhusu mambo ya kiserikali, je baada ya mapinduzi kule visiwani ni nani aliyepanda jahazi wangu wangu kumfuata mwenzie; Mwalimu au Karume?! Hebu nyie mujahedina muache apumzike Mwalimu wetu, mtafuteni huyo Babu yenu Karume muulize alifuata nini Magogoni baada ya Mapinduzi?!
 
Back
Top Bottom