Tafuta vijana wanaojua kunyoa vzr,then fungua saloon tatu Kwa kuanzia ingianao mkataba Kwa siku wakuletee elfu Saba itakayo zidi yakwao,Kwa maan iyo Kwa siku hutakosa elfu 21 na Kwa mwezi ukosi 630k ukitoa Kodi 540k faida pia ukitoa na Mambo ya umeme 500k hukosi
Na PC yang HP natumia window 10 shida ipo kwenye kuongeza mwanga(brightness) nikibonya fn then button za mwanga kweny keyboard inaniletea frame to za mwanga ila mwanga hauongezek shida ni nn?na Kama drives nili update zote nili activate mbka ya graphics
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.