Tabia za wana utopolo zinajulikana, kelele mingi sana lakini chokaaa. Hawana purchasing power. Kazi kujitutumua tu.
Simba maneno kidogo action kubwa.
Sasa utopolo wekeni waganga wenu waroge teknolojia isome miamala kwenu wakati ni hewa.
Huku hakuna jezi za bure
Kwa nini mashabiki wa utopolo ni wagomvi hivi? Kuna shabaki wa Simba Tabora alitolewaga jicho na shabiki wa utopolo kisa ushabiki tu. Mi sipendagi kubishana kabisa na utopolo wako very unstable.
Putin anamuambia kua mi niko mbali naweza kuongea na wewe lakini uko kwa mtu sebuleni yeye hata salam tu hajakupa!!
Asante Putin.
Huyu baba anajua kujishusha kwa wanyonge.
Sasa zito kwa sasa mna madaraka tatueni basi kero za wananchi, hayo ya kutaka kutuzika chato mbn mmefika mbali?
Maisha yanazidi kupanda gharama nyie hayo hayawahusu sio?
Kinachowatesa ni zile video za mazishi yake, ongezeni sauti au mzifute zoteeee. Narudia, Nape, Zito, Jan wako kimkakati sana...
Bondia ameamua kupigana na hewa na anatumia bomu la nyukilia. Mi nawashauri awamu hii watulie tu, hitaji lao na hamu yao ya vita wataipata kwenye uchaguzi wa 2025
Bondia ameamua kupigana na hewa na anatumia bomu la nyukilia. Mi nawashauri awamu hii watulie tu, hitaji lao na hamu yao ya vita wataipata kwenye uchaguzi wa 2025
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.