jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Ungekuwa umesikiliza alichosema mama, ungejuwa ni kwanini kapata hizo salam. Kwa mujibu wa NY Times, mama alisema hajui nani ni mkorofi ama mkandamizaji kati ya Urusi na UkrIne. Na kwamba hafahamu ni kwanini wanapigana.Putin amesema Tanzania na Russia zina Mahusiano ya Urafiki wa Muda Mrefu na amewatakia Watanzania wote mafanikio tele.
Ujumbe toka wa Rais Vladimir Putin wa Russia kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania.
View attachment 2201707
NB: Mama yupo USA ...USA ni adui wa Jamaa...hapa kuna zaidi ya ujumbe.!