Recent content by mmeto

  1. M

    Ugumu anaoupitia Harmonize ni kielelezo tosha kwanini sanaa yetu haikui. WCB inaua wasanii nje ya lable yao

    Nilijua tu kuna wapuuzi watajibu utumbo lakini jamaa ameandika fikra Zake kwahiyo haina haja ya kujibu hovyo kama hutaki si kaa kimya! Sent from my iPhone using JamiiForums
  2. M

    Maswali yanayohitaji majibu baada ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imemwekea vikwazo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda

    Alipiga vita mashoga, madawa ya kilevya na aliwajibu wamarekani kwa hawatakiwi kuingilia maslahi ya nchi yetu, hii ni sababu tosha ya kuzuiwa kuingia nchini kwao. Sent from my iPhone using JamiiForums
  3. M

    Tukifuzu AFCON mechi ya leo nakunya kuanzia Mwenge hadi uwanja wa ndege

    Amezowea kuwanyea watu huyo hapa anatafuta sababu ya kunya muacheni tu ana wa tembo Sent from my iPhone using JamiiForums
  4. M

    Usalama wa Rais: Wale askari wanamzunguka wanakuwa na silaha za moto kweli?

    Unamuamini mange sio?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent from my iPhone using JamiiForums
  5. M

    Freeman Mbowe: Ndani ya gereza la Segerea kuna ukiukwaji wa haki za binadamu ikiwa ni pamoja, kukosekana kwa mahitaji muhimu na msongamano wa watu

    Tatizo la wanachadema ni kama wamelogwa na mbowe na mganga inawezekana amekufa alikopata dawa huyo mtu hata uambie nini hawawezi kuamka isingizini kamwe Sent from my iPhone using JamiiForums
  6. M

    Naomba kujuzwa sehemu nzuri couple wanazoweza kwenda 3days 2night

    Njoo Serengeti heritage camp ipo ndani ya mbuga ya Serengeti, ingia www.Serengeti heritage camp.co.tz
  7. M

    Ujenzi wa daraja la waenda kwa miguu la juu eneo kati ya Kawe, Lugalo na Mbezi Beach ni matumizi mabaya ya rasilimali

    Tatizo ni kwamba watu wanapoandika haya huwa hawatumii akili ya ziada Bali wanatumia akili ya kuambiwa na siasa nyingi, tusilete siasa kwenye mambo ya msingi na maisha ya watu, pale panatasaidia kuokoa maisha ya watanzania wenzetu ambalo kila mwezi kuna idadi ya watu wanapoteza maisha yao pale...
  8. M

    TAKUKURU mchunguzeni Mbowe na ufisadi anaoufanya ndani ya CHADEMA

    Sio kila kitu cha kupuuza jamaa katoa mada Mzuri kabla ya kutukana Fanya uchunguzi hilo ndio tatizo la watanzania tunajua matusi tu! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Tetesi: Polepole Kuitisha Kikao kuwajadili Nape na Bashe, ni baada ya Kinana kugoma

    Jamaa anajua kutunga uongo, Nyumbu bwanaaa; Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
  10. M

    ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

    Ni wapi walisikia kuwa rais amesema wamekubali kulipa,kilichosemwa ni baada ya mazungumzo ndio itajulikana kama kuna cha kuilipa nchi yetu na kuendelea biashara katika mpangilio Mzuri.
  11. M

    Taarifa za kukanusha tuhuma za audio inayosambazwa ikumhusu Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe

    Onyesha namba za hao tuhakiki kama ni wao waliofanya hayoo!
  12. M

    Ilianza Zimbabwe sasa Tanzania inafuatia

    Kijana hatujakuelewa upo mwelekeo gani na ajenda kuu nini,ukituambia watanzania ni mambumbu ni pamoja na wewe sasa sijui una maanisha nini,mwelekeo wetu ni Mzuri sana kwa maoni Yangu bado hatujaafikia kwa kujilaumu tusonge mbele kujenga nchi yetu!
  13. M

    Mgodi wa North Mara unaingiza hasara ya $1,000,000 kwa Siku

    If are getting loss why don't them close the Mining, rubbish don't make us foolish!
  14. M

    Sidhani kama tunalijua hilo!

    Posted by Dr.Mmeto Yahaya. "Kuanzia Sakata la kutaja Watuhumiwa wa biashara ya dawa za kulevya mpaka kinachodaiwa "Uvamizi wa kituo cha Clouds Media Gruoup"! RC Paul Makonwab amekuwa gumzo kuu hapa Nchini kwa sasa ,kuanzia kwenye vyombo vya habari,mitaani na kwingineko! Nikiwa hapa Kijijini...
  15. M

    Exclusive: Askofu Gwajima atoa cheti chenye matokeo ya kidato cha nne ya Daudi A. Bashite (Makonda)

    Mm nashindwa kuelewa kiukweli kabisa badala ya kushupalia maendeleo ya mkoa watu wanaweka topic ya vyeti vya bashite huku watu wakilia njaa
Back
Top Bottom