Ilianza Zimbabwe sasa Tanzania inafuatia

Akili za Watanzania waliowengi ni kama bendera huwa wanafata upepo tu, hakuna tofauti ya wasomi wala wauza karanga mitaani. Kwa hurka hii mbaya sioni kama kuna siku tutanasuka kwenye hili tope zito la umbumbu. Nchi ikishakosa utofauti wa uelewa ni ishara tosha kuwa kuna shida.

Sijaelewa bado kama tatizo ni siasa au elimu, ujinga au uvivu, serikali au mazingira. Kwanini idadi ya watu kuwa wapumbavu inaongezeka siku hadi siku?

Ila hala hala kiangazi kinakuja na tope linaanza kukauka hivyo nasema tukiendelea hivi hatapona mtu.Wenye macho na waone na wenye masikio wasikie kama taifa tuko kwenye hali mbaya

Some problems are so complex that you have to be highly intelligent and well-informed just to be undecided about them.
Umeandika ujinga.
 
Mtoa mada.jaribu kubalance.upate kusomeka kwa wote.unamaanisha nini.unaweza kufafanua zaidi.wenye ufahamu Mdogo.tukaelewa na tukaelimika
 
Yaani chama kilichokufa chadem mnajitekenya na kucheka wenyewe. Hili suala hamtashinda, kama ilivyokuwa kipjndi cha uchaguzi, you'll never win.


Wapi nimetaja mimi Chadema?? Utakuwa unamatatizo ya fikra, siku ukikuwa kifikra utaacha kuongea utoto.
 
Mtoa mada.jaribu kubalance.upate kusomeka kwa wote.unamaanisha nini.unaweza kufafanua zaidi.wenye ufahamu Mdogo.tukaelewa na tukaelimika


Uzi uko sawaa kabisa Mkuu, haufafanuliki zaidi ya hapo. Tuliza kichwa tu utaelewa ndugu yangu
 
ILI NI PEPO ZAIDI YA IBLISI. JAMANI KAMA KUNA WACHUNGAJI NA MASHEIKH HUMU NAOMBENI MLIOMBEE LITOKE. huwezi kutetea wizi , wewe sio mtu wa kawaida



Soma uzi vizuri uelewe, ila kama unaona kuna sehemu mwizi katetewa au kuna pepo basi inatisha zaidi ya fikra za uzi huu.
 
Hahaha, eti tunaamini umaskini wetu unatokana na wazungu. Ilhali tunafanya makosa ya waziwazi wenyewe. Dunia ya leo unasema kuwa Waziri, Mbunge, Mkuu wa Mkoa au Wilaya inahitajika kujua kusoma na kuandika tu. Kisha tukishindwa kutatua changamoto kubwa za kimaendeleo, tunawalaumu wazungu. Haiwezekani. Ukweli unabaki kuwa akili zetu hazijawa tayari kujiletea maendeleo.

Hii comment akiiona Mkuu wa mkoa wa Dar utatekwa
 
Tanzania ni Nchi ya ajabu sana wale wale walituletea matatizo wanapitia malango wanyuma heti wanataka kutatua matatizo ambayo waliyaleta wao
 
Akili za Watanzania waliowengi ni kama bendera huwa wanafata upepo tu, hakuna tofauti ya wasomi wala wauza karanga mitaani. Kwa hurka hii mbaya sioni kama kuna siku tutanasuka kwenye hili tope zito la umbumbu. Nchi ikishakosa utofauti wa uelewa ni ishara tosha kuwa kuna shida.

Sijaelewa bado kama tatizo ni siasa au elimu, ujinga au uvivu, serikali au mazingira. Kwanini idadi ya watu kuwa wapumbavu inaongezeka siku hadi siku?

Ila hala hala kiangazi kinakuja na tope linaanza kukauka hivyo nasema tukiendelea hivi hatapona mtu.Wenye macho na waone na wenye masikio wasikie kama taifa tuko kwenye hali mbaya

Some problems are so complex that you have to be highly intelligent and well-informed just to be undecided about them.

Ona huyu naye. Sasa ndio umeandika kitu gani hapa? Hata mgonjwa wa kipindu pindu hawezi kuharisha namna hii!!
 
Tatizo watu walikosea kufanya maamuzi kwenye sanduku la kura, sasa ni mwaka na nusu Tanzania ina hasara kubwa kuliko wakati mwingine wowote.

Hakuna wa kuhoji, uchumi wetu anasimamia Dotto Katibu Mkuu Wizara ya Fedha. This is nonsense! Mshauri wa Fedha eti ni Dotto, hii laana itatumaliza.

Acha kutoa povu. Tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele. Hatuna utaratibu wa kubadilisha gia angani.
 
Tanzania ni Nchi ya ajabu sana wale wale walituletea matatizo wanapitia malango wanyuma heti wanataka kutatua matatizo ambayo waliyaleta wao
Kweli hii nchi ni ya ajabu. We jiulize kwanini walewale waliotuonyesha matatizo Leo hii wametugeuka baada ya kuanza kuyashughulikia? Wameamua kuungana upande wa waleta matatizo..
Kama ni hukumu ya unafiki hakuna atakayesalimika.
 
Umejaribu na nani? Talk in your personal capacity.
Kijana hatujakuelewa upo mwelekeo gani na ajenda kuu nini,ukituambia watanzania ni mambumbu ni pamoja na wewe sasa sijui una maanisha nini,mwelekeo wetu ni Mzuri sana kwa maoni Yangu bado hatujaafikia kwa kujilaumu tusonge mbele kujenga nchi yetu!
 
Kijana hatujakuelewa upo mwelekeo gani na ajenda kuu nini,ukituambia watanzania ni mambumbu ni pamoja na wewe sasa sijui una maanisha nini,mwelekeo wetu ni Mzuri sana kwa maoni Yangu bado hatujaafikia kwa kujilaumu tusonge mbele kujenga nchi yetu!


Now you are making sense! Usinihukumu hayo si maneno yangu wala sina agenda ni matokeo (findings) ya simple analysis niliyoifanya kwa matatizo ya sasa ya nchi hii.

Hivyo muelekeo wangu au agenda yangu kuu havina maana hapo. Soma kama ilivyo muda ndiyo majibu ya yote kama tukijaliwa na mwenyezi Mungu.


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom