Recent content by MMC1981

  1. M

    Rais Magufuli, CDF mpelekeni Tundu Lissu mahakama ya kijeshi - court Marshall

    Huyu kenge ameniudhi mno yule alietolea nape bastola ni nani? Mijitu mengine kama ilibemendwa hilo jeshi unalosema linatulinda linalinda magufuri na ccm wasitoke madarakani tena hakuna taasisi ninazozichukia kama hizo ulizozitaja kwani ndo zinalinda uozo waccm
  2. M

    Rais Magufuli, CDF mpelekeni Tundu Lissu mahakama ya kijeshi - court Marshall

    Huyu alieandika huu uzi kama shoga vile
  3. M

    Messi vs Ronaldo: Nani zaidi?

    Unaongea pumba tupu
  4. M

    Serikali: Tumemuondoa Bi. Awa Dabo wa UNDP kwa kutokuwa na Maelewano na watendaji ofisini kwake

    Inawezekana aliikosoa serikali ya mtukufu sana rais ambae anajiona yeye ni zaidi hata ya malaika ndo maana ametimliwa
  5. M

    Sheikh Mkuu Dsm aibua utata Freemason

    Inaweza kana nae ni mfuasi wa freemason
  6. M

    Ni nyoka gani mkubwa kuliko wote duniani

    Ccm ndo joka kuu halijawahi kutokea
  7. M

    Mh Mbunge Halima Mdee utawatega watu na kijivazi hicho.

    Mbona dada yako anafanya uchafu huondoi funga kopo kilaza
  8. M

    Nape Nnauye: Nikisema haya naonekana Mkorofi

    Alivyokuwa waziri kwann hakuyasema leo ameteshwa cheo ndo anajifanya kuwasemea wananchi aache unafki
  9. M

    Hoja ya Mbowe waliyoidharau wabunge wa CCM imeanza kupata majibu

    Kama kuna watu waoga nihawa wanaoitwaTISS au kwa jina jingine matasa wanadeal na upinzani lisu lema na roma alitaka kunyofolewa koo saanane ndo alishanyongwa kwanini wasiende huko rufiji wakapambane nawanaume wakazi ?hovyo hawa jamaa
  10. M

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Wauwe tu haina jinsi maana usalama wetu wapolisi wako busy na roma na Ben saanane wanashindwa kudeal na mambo muhimu kama haya askari nane kweli?inauma mno hawa tiss kazi yao nini?
  11. M

    G.Lema: Tulaani sote tukio la Polisi kuuawa

    Lema jembe ila polisi acha nawao wafe ili waone machungu yawale waliowauwa huwa yana kuwa vipi mwangosi nimfano halisi
  12. M

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Hii sasa nimekumbuka wimbo wa kokoro wa diamond na rich mavoko kuwa mgonjwa katibu mganga,polisi acheni kujenga uadui na raia mngekuwa mnaishi vizuri na raia mngekuwa mnapata taarifa mapema alafu zile intelejensia zinatumika kuzima mikutano yakisiasa? Na usalama wataifa wako busy kuteka vidagaa...
  13. M

    Utabiri wa KUB Mbowe Bungeni kuhusu usalama

    Maccm kama yana laana vile
  14. M

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Ttzo lenu mibumunda ya lumumba hamtaki kuambiwa ukweli acha ungese usalama wataifa wako busy kuteka watu wana sahau kazi zao zilizowafanya wawepo
  15. M

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Usalama wataifa niwajinga mno napumbavu zao wako busy kuteka visanii vidogo kama Roma pia na Ben saanane na ukweli nikwamba hao hawana madhara yoyote ktk jamii wanaancha kupambana nawanaouwa askari wetu wanaofanya kazi kubwa usiku na mchana pia na askari wabadilike mindset zao ili washinde hizi...
Back
Top Bottom