Recent content by mmbangifingi

  1. mmbangifingi

    Muungano ukivunjika

    Umeua
  2. mmbangifingi

    Traffick eneo la Mafinga ni wezi na matapeli

    Wafanye kwa usahihi na haki sio kulazimisha makosa..besides, mahala pa 50 ukienda mpaka 54,55 ni execusable..
  3. mmbangifingi

    Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?

    ile hukumu ya mahakama kuu mwanza umeiona? kuhusu kituo cha mafuta kilichobomolewa
  4. mmbangifingi

    Stop engine kwenye gari za kichina

    Mbona unakuwa mkali? Hapa ni suala la kuelimishana..kwahiyo unataka kusema mbadala wa stop engine kwenye gari za kichina ni ile retarder?
  5. mmbangifingi

    Stop engine kwenye gari za kichina

    Wakuu, stop engine ni brake inayosaidia kupunguza mwendo katika gari kabla ya footbreak..ni common sana kwenye magari yote scania,volvo,benz,mitsubish nk. Nimechunguza sana gari hizi za kichina kuanzia Yutong mabasi haya mpaka malori cjaona stop engine/engine break..Ni kwanini pengine mchina...
  6. mmbangifingi

    Lema kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela?

    Akina original comedy kesi ya kuvaa sare za Polisi na kuchezea muziki kwenye harusi imefikia hatua gani tafadhali
  7. mmbangifingi

    Magic FM: Rais asifikirie Wananchi watafuata sheria wakati yeye mwenyewe anazivunja sheria

    I real didnt expect Tanzania tutakuja fikia pahala pa hivi
  8. mmbangifingi

    Mungu ni mwema , Hatimaye Job Ndugai kurejea nchini

    Bora upate nafuu arudi augulie hapahapa nyumbani
  9. mmbangifingi

    Ukweli mchungu: Kikwete akiruhusu kura ya siri, Magufuli hatoboi

    Faiza foxy hasikiki tena!! Cjui hakupenda "John" kuwa rais
  10. mmbangifingi

    Mtela Mwampamba aliukana ualimu, akauona ni ajira ya hovyo. Leo anapewa cheo cha Utumishi wa Umma!

    Hayo ni matunda ya kuwa kada wa ccm mkuu.....analipwa sasa.....achana nae!!!!!!QUOTE="G Sam, post: 16758649, member: 137610"]Hivi nyie mnaounga mkono uteuzi huu mnatafakari kwa kina kweli? Iweje mtu akatae kutumikia jamii eti kwa sababu maslahi ni duni then awaache ambao wametumikia kwa taabu...
Back
Top Bottom