Recent content by mmasala

  1. M

    MwanaHalisi: Kikwete akomba hazina! Fedha zilizopo hazitoshi kuendesha serikali hata siku 20

    Mmm watu wengine hawaendi na wakati... Hiyo habari ya 2011... Tupe habari za saizi banaaaa kama baba liz kakomba hela na kweli kakomba alafu unasema udaku wakati hali halisi tunaIona..... Kusoma hujui na picha huoniii.... Tz pesa ipo ila inakombwa na wachache na familia zao. Hahahaaaaaa
  2. M

    TBC wanaonyesha mkutano wa UKAWA

    Hahahahaaaa.... Tbccm na claudccm wameona kuwa kesho lowasa ndo raisi wameona bora wajikoshe leo.... Walikuwa hawasomi hata magazeti yaliyoandikwa lowasa sembuse kumrusha live? Toroka uje hiyo... Hahahaaa
  3. M

    TBC wanaonyesha mkutano wa UKAWA

    Hawajakosea wanajua kesho lowasa ndo Raisi ko wanajikosha
  4. M

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Jipe matumaini tuuu maana mnahaha na hilo goli la mkono ili mpate upenyo... Mmekamatika vibaya safari hiiiii... Hamchomoki, mmeshaingia kwenye 18... Mmelegeaaaaaaa kwetu kz imekuwa rahisi sana....
  5. M

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Waliosema dying person kama wewe wamekufa wao yeye anadunda tu tena mahaba kwa wananchi ndo yanazidi....... Hata usipo mpigia kura tulizonazo sisi zinatosha kumfikisha Ikulu akatuletee katiba ya wananchi tunayoitaka Lowasa hoyeeeeee.... Mtajibebaaa
  6. M

    Huyu dada anajiita Wolper ameweza sana kwenye hizi kampeni

    Toroka ujeeee.... Waliofuata Lowasa yanajua umuhimu wa mabadiliko maana "CCM ni ileileeee eee ni ileileee"
  7. M

    Huyu dada anajiita Wolper ameweza sana kwenye hizi kampeni

    Weeee nawe.... kama unajisikia kichefuchefu kwa ushabiki wake, kale malimao..... Au mfollow Wema
  8. M

    Lowassa apaniki baada ya kusikia kuhusu Mafuriko ya Mwanza

    Yaaani hata mseme na kukejeli kwa namna yoyote ileeee.... Tumemuamini Lowasa kura tunampa..... Muda wote macho kodokodo kumfuatilia.... Naye anawakimbiza wala ucngz hamlali.... Kazaneni na hoja zenu dhaifu za ugonjwa mwenzenu anachanja mbuga kuelekea Ikulu... Hahahaaaaa mtatiju tuna mahaba...
  9. M

    GE2015 Magufuli akutana na nguvu ya Umma Mbeya, azomewa, aambiwa wanamtaka Lowassa

    Atazomewa tuuu kipendacho roho ni Lowasaaa..... Aende gym kufanya mazoezi ya u bodyguard Lowasa ni Raisiiii tuuuu peopleeeees poweeeer
  10. M

    Full Time: Simba 0-2 Yanga Taifa 26/9/2015

    Pole kwa kufungwa ila siasa yako peleka hukooo, si kwamba kila mwana yanga ni ccm
  11. M

    Magufuli 4 Change (M4C), nimeipenda sana hii

    Yaani ccm wamefika ukomo wa kufikiri duh... Kwa ck zilizobaki wanaweza paka rangi nyeupe kichwa cha makufuri.... Hahahaaaa lowasaa waburuzeeee haoooo
  12. M

    CCM: Magufuli yupo tayari kwa Midahalo; tuna kila dalili ya Ushindi

    Anawatoa jasho lowasa eee maana hata usingizi hampati..... Endeleza kampeni zako viwanjani tutakufuata tuuu. hiyo tbccm na starccm ndo mnataka midahalo... Viwanjani tuu raisi wanguu peopleeeesssss.... Poweeeer
  13. M

    Wasanii Aunti Ezekiel na Vincent Kigosi kutoka UKAWA wajiunga na kampeni za CCM

    Hao wasanii Waende tuu wala hawaleti madhara yoyotee... wanazani kuna fiesta huku....
  14. M

    Updates: Mikutano ya Lowassa mkoa wa Dar Es Salaam - Tarehe 7 Septemba, 2015

    Mafuriko ya lowassa si mjini pekee hata akienda kijijini bado anapeta tuuu.... Ssm mtajibeebaaa
  15. M

    Morogoro: Magufuli - Elimu Bure kuanzia Msingi hadi Kidato cha Nne; Makamba awavaa Lowassa, Sumaye

    Ni afadhali walk rule tea choo chumbani hivyo choo kikaongeza hadhi ya chumba nakuwa Master bedroom... Lowasa vyovyote watakavyokuita kura tutakupa tuuuu, sisiem hamtubadilishi chochoteeee ikulu ya lowasa tuuu
Back
Top Bottom