Kinachosikitisha zaidi hawaishii tu kwenye social media ila wamo mpaka kwenye vyombo vya habari vinavyoheshimika kabisa yaani TV..... Swali najiuliza wanapataje ajira? Kimsingi makosa ya kuweka h pasipostahili sio typing error kabisa INA maana vyombo hivi vya habari vinaajiri MTU wa kutyipe...
Ndugu......suala LA bodyguard sidhani kama lina mashiko. Kwa nn
1.Kuwa na bodyguard lazima use na sababu(motives) za kwa nn uwe na bodyguards.
2.waeza kuwa na bodyguards na bado proffesional kidnapers wakakupata tu. So kwa hili LA Mo nadhani tusubiri tujue sababu has a ya utekaji. Maana huyu...
To be honest natamani nijiconvert sijui namna gani niwe na kiwango chako mkuu......unanimotivate sana.
[emoji29] kungekuwa na sindano ya kuchoma kama zile za kuongeza sehemu ya mwili ningechoma.
Msamvu....al said hii hapa ......konda nipe tickets..........ngoja tu niwemo Dar kwanza kama nimo kwenye batch ya kwanza ama simo Sir God knows
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.