Jamani wana jamvi lazima mjue kuwa nchi yetu ni kama mtumbwi ulio tubeba wote hivyo nijukumu letu wote kuhakikisha tunautunza ili husipinduke kwani ukipinduka wote tutatumbukia baharini,hili suala la shehe wetu naomba tusilifanye sana kuwa chanzo cha chokochoko kila sehemu.
Ndugu yangu umenena jambo la msingi sana.wakristo na waislam hatuna ugomvi wa aina yoyote,bali kuna baadhi ya watawala wanataka kututenga ili watutawle vizuri na kilahisi.WATANZANIA TUSIKUBALI KUINGIA KTK MTEGO HUU.Tuendelee kuishi na kupendana na la msingi ni kuhakikisha tunashirikiana wote kwa...
Ok mkuu nahitahi kuinunua hiyo bb tukielewana,ila kwanza unieleweshe jinsi ya kujiunga na internet maana nilikuwa na bb mpaka nimeiuza kila ukitumiwa settings inasema simu yako haina bookmark services kwa line ya air tel.pls
Ni kweli ndugu yetu mkulima unaandaa shamba kwa gharama kubwa hadi kuvuna,wakati wa kuuza serikali inakwambia uiuzie kampuni fulani kwa bei hii,hata nusu ya gharama ya uzalishaji haifiki.Ok ukishauza na kulipa ushuru,vigogo wanatafuna na hakuna cha maendeleo.Hakuna cha uzalendo hapa.
Asante mkuu,huwezi kuzipata kwa lnb 1? Ya c band?mie natumia receiver ya strong napata local chanel itv,chanel ten na hiyo citizen.star tv inakataa na tbc pia inakataa,kumbuka hizi zote ni vertical mzee
Simba walisahiri kwa ujinga kwani wakati Ngasa anatoka Azam kwa mkopo alikuwa amebakuza mwaka mmoja kumaliza mkataba wake,hivyo basi sheria ya usajiri inasema kuwa huwezi kumsajiri mchezaji kutoka timu nyingine akiwa ndani ya mkataba unaozidi miezi 6.Simba hilo hawakulijuwa?
Timu ya Yanga nitimu kubwa na inawapenzi wengi kama ilivo Simba kwa hapa nchini.Kitendo cha Tff kutaka kuwaingiza mkenge wa kukubali udhamini wa Azam ni kuidhalau.Fedha wanayopata toka ka kwa mgadhili wao mkuu na mwenyekiti wao bwana Manj,ni kubwa kuliko hiyo ya ufadhili wa Adui yao.nawashauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.