Recent content by Mlyamimbo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mini-plant ya kuchenjua marudio ya dhahabu

    Mkuu andaa around 80millions kukamilisha system mzima plus infrastructure za prevent environment!!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu hafai kuwa Rais wa TLS

    Ningekuunga mkono endapo ungekemea jeshi la polisi linavyotumika kisiasa, badala ya kumuattact Lissu tu, Mbona hata Masha na yy ni mwanasiasa yy umemuacha au tatzo ni Lissu tu?( Ungana na msabato kwenye kesi ya dom, na hapo ndo utajua Lissu anafaa au laa
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM waliopanga kumuona Lema gerezani waonywa, waitwa wasaliti

    Ndugu zangu wanajukwaa, Kunahaja kuweka mfumo wa pamoja kama taifa namna ya upatikanaji wa viongozi wajuu wa taifa letu. Nasema hivyo kwa sababu binafsi naamini msemo wa kiswahili usemao "dalili ya mvua ni mawingu", kunasiku huko tuendapo taifa litaongozwa na laana badala ya kiongozi. Moja ya...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ahudhuria Ibada KKKT Kimara; hataruhusu Dar kuwa lango la Madawa

    Mimi sishangai, hao wote uliowataja wanavyeti original, huyo aliyelia cjui y? May be vyeti vyake haviko sawa!!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini wapinzani mnageuza Mahakama kama ulingo wa kisiasa?

    Hayo ni matokeo ya kugeuza haki kuwa Takwa la mtu na siyo takwa la kisheria, na hapo nchi huvurugika!!!, Tuendeleni kuheshimu Sheria za nchi na katiba ya nchi, naomba mahakama ifanye kazi yake, na awamu hii mahakama ndo mhimili utakaofanya kazi kubwa kuliko mhimili mwingine.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mbowe ameshindwa kesi kabla hata haijaanza!

    Rejea kesi ya mwagosi na polisi aliyehukumiwa!!!,je yy alikuwa siyo gari!!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ballen Ngetti(Kada Mtifu wa CCM): Chama chetu Kinaharibika kwajili ya Kutosikiliza Ushauri

    Mmmh;;;Hiyo inaitwa "to every reaction there is equal & opposite reaction.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu anawatumia Wananchi kama daraja tu!

    Kwani Singida nao wanakatiba tofauti na ile anayoizungumzia Lisu?Je mbuge wako ww anazungumzia nn? Udicteta anayoizungumzia Lisu unabagua majimbo?... Mimi naona Lisu komaa Maana hata huku kwetu njaa ipo.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mungu Mkubwa! Afrika yetu yote kujitoa ICC!

    Tusifurahie waafrica kujitoa ICC,ni hatari kwa Africa ya baadaye.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Waafrika waanza kuivamia nchi ndogo ya Gambia, hali ya Hatari imetangazwa!

    "Fikra mgando uhalali wa wewe kusema huyo ni kibaraka umeutoa wapi?, Huyo unaemuita kibaraka amepatikanaje?, Mimi naona huyo jamaa apigwe tu iwe fundisho kwa viongozi wengine wa Africa wenye lengo baya kama hilo!!
  11. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA fanyeni harambee kumnusuru Freeman Mbowe kisiasa na kiuchumi

    "Ukitaka kuwa muongo mzuri,jaribu kuwa na kumbukumbu nzuri" Mimi nilitengemea taarifa yako Liziboni kuhusiana na Mbowe ingekuwa ni taarifa ya mchanganuo wa namna gani Mbowe anavyotumia pesa uliyodai amepewa na Lowasa Cha ajabu hujatuambia, hujawahi kutuambia pesa zile zimeenda wapi?, Leo tena...
  12. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA fanyeni harambee kumnusuru Freeman Mbowe kisiasa na kiuchumi

    Lowasa aliwahi kusema, chama changu CCM hakiandai vijana yakinifu, Bali kinaandaa vijana wapayukaji tu: Sasa Liziboni mwenyewe ulitwambia Mbowe kapewa Billion 10 na Lowasa mara CHAMA kakiuza billion kumi, Mimi nilitegemea Leo useme Mbowe anatumbua mabilion ya Lowasa, Sasa vipi?, Sikuelewi?
  13. M

    JamiiForums Tanzania "Kagera na falsafa ya serikali na hatima ya Baadaye"

    Habari za mwaka mpya wanaforum?Nimeona na mimi leo niitazame kidogo falsafa ya serikali na mtazamo wake juu ya wahanga wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Katika nyakati tofauti serikali ya jamuhuri imekuwa ikitoa kauli nzito na zakukatisha tamaa kwa wahanga wa tetemeko la ardhi huko Kagera...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Hatumkosoi Magufuli kwa Uwenyekiti wake wa ccm

    Dr. Mm nimemuelewa vizuri sana,nikichanganya na kauli ya Msigwa " Tunajenga taifa la kujipendekeza pendekeza" Vijana wengi wamekuwa watafuta fursa mbaya zaid wenye mamlaka ya uteuzi ,kujipendekeza kimekuwa kigezo cha kuteua kiongozi. Rejea uteuzi wa MaDc,RC na wakurugenzi.
Back
Top Bottom