Kuna dingi aliniambia hii mashine ni ya mjerumani, lkn kwenye label imeandikwa china, nikambembeleza kwa bei yangu akakataa akasema kwanza hii kuna mtu kaitangulizia pesa mida hii hii, kesho atakuja kumalizia, leo ni mwezi wa pili nikipita pale naiona ipo ndani tuu.
Wataalamu wa mambo naomba msaada wenu katika uamuzi huu. Nina bajeti ya milioni 1.5 kwa ajili ya kununua TV, na leo nimezunguka madukani kutafuta chaguo bora.
Katika maduka ya bidhaa mpya, nimepata TV mbili zinazovutia:
Hisense 65A6K/N – UHD Smart 4K
TCL UHD Smart 4K
Zote zinauzwa kwa...
Mi nilishanunua mikanda na bodi kwa hesabu ya fundi mwingine, fundi aliekuja kuskim akashauri tusitumie mikanda, nikakomaa akasema basi mikanda tuweke vymbani tuu, sa hv natamani nyumba nzima nisingeweka mikanda. Dining na sebule panavutia sana bila mikanda.
Biashara ya Bond inawafaa watu wenye majukumu mengi kiasi cha kukosa muda wa kushughulika na fursa mbali mbali mtaani ili kukuza kipato.
Yaani niwekeze 1M ili nipate 10K kwa mwezi. Dah!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.