Habari ya Jumapili Wanabodi,
Nauza Kiwanja changu kilichopo Madale, Dar es Salaam.
Kina Ukubwa wa hatua 60 kwa 48. Kipo eneo tambarare na watu tayari wameshajenga
Bei ni Tsh Ml.12 tu
Kwa mteja serious naomba anitafute kwa namba ya simu 0786 294545 au 0714 159 283
Karibuni
Habarini wana Jukwaa
Baada ya kuanza kukamua Alizeti ili kupata mafuta ya kula, nimebakiwa na kiasi kikubwa cha Mashudu ya Alizeti kwenye kakiwanda kangu kaliyopo Wilayani Mpwapwa, Dodoma.
Kwa mhitaji wa Mashudu kwa wingi tuwasiliane kwa namba 0786 294545 ili tuongee biashara.
Karibuni
Kwanza nikupongeze kwa kuaminiwa na Mh. Rais mpaka kufikia hatua ya kukuteua kumuwakilisha. Pili nikupongeze kwa kasi nzuri uliyoanza nayo ambayo kwa namna moja au nyingine inaendana na kasi ya Mh.Rais.
Nikiwa kama mkazi wa Wilaya yako ya Kinondoni, naandika ujumbe huu nikiwa na masikitiko...
Wewe KP FARMING inaonekana mama yako alitombewa Bar na akakuzalia Bar.
Mimi nimetoa Data na mifano ya uhakika unasema naleta Pumba!!!!Nimegraduate PhD Mlimani mwezi November matako wewe
Na kimsingi nina picha za huyo binti toka majuzi tukio lilipotokea.Anasoma Korogwe Girls na akitoka Mwanza akapitia Arusha ili alale kwa ndugu yake kisha siku ya pili apande basi kwenda shule Tanga.Nadhani alipotezana na huyo ndugu yake stendi so alipomuona askari akamuomba msaada amsaidie.So...
Ndugu,hilo linawezekana,siku hizi elimu ya miaka 4 kidato cha kwanza mpaka cha nne mtu makini anasoma kwa miaka miwili tu na anapiga paper ya form four na anapata credit hivyo anaendelea na Alevel ambayo nayo badala ya miaka miwili anapiga kwa mwaka mmoja anafanya paper ya form six anaingia...
Ndugu hii Nissan yako bado ipo?tatizo gari lako unauza likiwa na Kadi tu,File hauna sasa hiyo ni changamoto!Mimi nilikuja na cash mkononi mpaka Kimara ili ninunue gari hili,nakuuliza File la gari liko wapi unanipa Kadi tu unasema File mpaka ukatafute nyumbani,tukalubaliana siku ya pili ukilipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.