TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,674
- 1,572
Nimeona katika taarifa ya habari ya ITV usiku huu kuwa askari mmoja wa jeshi la polisi kikosi cha FFU amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi jijini Arusha kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa kidato cha sita MWENYE UMRI WA MIAKA KUMU NA SITA.
My take:
Nimejaribu kupiga hesabu zangu naona zinakataa, mwanafunzi wa kidato cha sita kuwa na umri wa miaka kumi na sita labda mwanafunzi huyu kama atakuwa ameanza darasa la kwanza akiwa na miaka mitatu.
Hapa ndipo unapoona weledi wa mahakimu wetu na waendesha mashtaka wetu kuwa upo chini sana.
My take:
Nimejaribu kupiga hesabu zangu naona zinakataa, mwanafunzi wa kidato cha sita kuwa na umri wa miaka kumi na sita labda mwanafunzi huyu kama atakuwa ameanza darasa la kwanza akiwa na miaka mitatu.
Hapa ndipo unapoona weledi wa mahakimu wetu na waendesha mashtaka wetu kuwa upo chini sana.