Recent content by mludego

  1. mludego

    Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

    Ndio unaweza pata kipindi unaivua ndomu kama hauko makini
  2. mludego

    Chuo Kikuu cha Iringa chawafukuza wanafunzi zaidi ya 50 kwa kudukua Mfumo wa Malipo ya Ada

    Mtaani kwetu kuna wezi walivamia shambani kwa mmoja wa jenerali wa jeshi na kuiba KG 630+ za maharage lkn walipofuatiliwa njiani walikutwa wamejitwishwa kichwani maana walikua wawili hivyo hizo kg waligawa nusu,walivyokamatwa ilibidi meja awape ajira ya kudumu ktk moja ghala zake...
  3. mludego

    Sipendi ugali kabisa na ninaishi

    Gonga ugali kitimoto mixer kachumbali, chachandu utakuja nishukuru
  4. mludego

    Nilivyozidiwa kete na mganga wa kwenye kipeperushi

    Mwizi ni yule aliekuletea kipeperushi baaasi, au kama umeamua kutuletea chai ya baridi sawa
  5. mludego

    Vigogoni gani wataondoka baada ya mkutano wa Kariakoo?

    Bora hata nafasi ya mwigulu apewe Dr Msukum
  6. mludego

    Tukutane hapa wenye magovi

    Patricia bacelar nae yupo kama wewe
  7. mludego

    Je, unaweza kununua mke roboti?

    Wamuwekee kabisa na tigo ili ukiweka tuu unapigwa shot ya zakali
  8. mludego

    Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Tufanyeje broo tuoengeze masiku
  9. mludego

    Mejja - Landlord (nyimbo na matukio)

    Mejja kitambo sana anakamua vema tafuta wimbo wake unaitwa Barua hutojutia
  10. mludego

    Nataka kutoa fundisho kwa huyu Mzee

    Ni kweli mkuu mimi yalishanitokea nikavimba kichwa sana na kujiona mimi kidume kumbe ndio najichimbia shimo
  11. mludego

    Text to speech apps

    Akikutumia tafadhali ww itume hapa hapA,,,,
  12. mludego

    Text to speech apps

    Unafikiri yeye ameshindwa kuja PM yako kukueleza yote haya Hili ni jukwaa ambalo pia ni kama darasa sasa kila mwanafunzi kila mwanafunzi akimtembelea mwalimu chumbani kwake itakuaje... tupia link hapa hapa
Back
Top Bottom