Mtaani kwetu kuna wezi walivamia shambani kwa mmoja wa jenerali wa jeshi na kuiba KG 630+ za maharage lkn walipofuatiliwa njiani walikutwa wamejitwishwa kichwani maana walikua wawili hivyo hizo kg waligawa nusu,walivyokamatwa ilibidi meja awape ajira ya kudumu ktk moja ghala zake...
Unafikiri yeye ameshindwa kuja PM yako kukueleza yote haya
Hili ni jukwaa ambalo pia ni kama darasa sasa kila mwanafunzi kila mwanafunzi akimtembelea mwalimu chumbani kwake itakuaje... tupia link hapa hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.