Recent content by Mlongachalo

  1. Mlongachalo

    JamiiForums Tanzania Ni kipi chanzo na tiba ya misuli ya jicho kutikisika?

    Habari Wadau. Naombeni msaada wa hilo Jambo la JICHO la kushoto kucheza mara kwa mara(Siku3) Mwenye ufahamu na swala hili. Karibuni Wadau
  2. Mlongachalo

    JamiiForums Tanzania Nang'atuka kwani ualimu siyo baba yangu wala mama yangu

    Maamuzi sahihi kabisa. Hakuna kitu cha msingi kama Kujitathimi,Kujitambua na Kuona mbele ni nn hatima ya hii kazi ninayoifanya Leo, Kesho na Mitondogooo...lazima ufanye maamuzi magumu..Good luck Mdau. Kwa nn opoteze nguvu zako for nothing....
  3. Mlongachalo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazazi wanilazimisha lazima nioee Kabila langu "Mchaga"

    Omba Mungu akupe wepesi wa Jambo hilo na mwisho uje na maamuzi sahihi...vinginevyo utakuja Lia na wakukunyamazisha hutamwona...Fata hisia zako na sio hisia za wazazi
  4. Mlongachalo

    JamiiForums Tanzania Picha: Hii imekaaje?

    Mtabishana sana...Nashauri ili kukata mzizi wa fitina..ajitokeze msemaji wa idara hii na kulitolea ufafanuzi kama ambavyo JWTZ walivyofanya kuhusu September 1 kuwa sio siasa bali ni Maadhimisho na yapo kisheria. Over
  5. Mlongachalo

    JamiiForums Tanzania Watanzania mniombee - Ali kiba

    Tumwombee yupi kati take na Mkulu?
  6. Mlongachalo

    JamiiForums Tanzania Tanga eeh kunani pale!

    Hatareeee....
  7. Mlongachalo

    JamiiForums Tanzania Msanii namba mbili Tanzania amemfunika vibaya French Montana kwenye kolabo

    Mapovuuuuuuu...
  8. Mlongachalo

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Kuna mwanamke ananipenda lakini mimi naishiwa hamu kwa kuwa ananuka mdomo

    Ur right..Ummesh.. Anavigezo vyote na mpambanaji kweli kweli.. tatizo tu ni hiyo harufu ndo nashindwa...Mapenzi hayaendi bila denda sa akikusogelea mpaka hisia zinapingua
  9. Mlongachalo

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Kuna mwanamke ananipenda lakini mimi naishiwa hamu kwa kuwa ananuka mdomo

    Habari wandugu, Kuna mwanamke analazimisha mahusiano ya mimi na yeye tuwe pamoja na ikibidi nimuone. Ila cha kushangaza napokutana nae kupiga stori mbili tatu yeye anatoka kwenye point ya mazungumzo na kuaanza kutaka tufanye mapenzi. Huwa najitahidi kumkatalia lakini ananibembeleza mpaka mwisho...
  10. Mlongachalo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Sina hisia na mwanamke niliyezaa nae lakini anataka tuishi wote

    Ahsanteni wadau.... kweli JF ni sehemu ya Mediation
  11. Mlongachalo

    JamiiForums Tanzania Usain Bolt aingia kwenye kashfa ya picha za mahaba na mwanafunzi

    Mtoto wa Mwenzako ni Mtu mzima Mwenzako...
  12. Mlongachalo

    JamiiForums Tanzania Mchumba wa kiume aliyeokoka anahitajika

    Kazi kweli kweli... kweli wanaume tumekuwa dili.
  13. Mlongachalo

    JamiiForums Tanzania Wizkid asema kidogo ndio nyimbo bora na anayoikubali kwa sasa

    Mapovuuuuuuu....
  14. Mlongachalo

    JamiiForums Tanzania Inaelekea vimbaumbau hawakupewa mwaliko hapa...

    Maaammmmm sheikh...uh
  15. Mlongachalo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tunaishi kama mke na mume lakini hana mpango wa kunioa, nifanyeje?

    Hatareeee...
Back
Top Bottom