Kuitwa doctor au professor hiyo ni TAALUMA, kupata A's darasani ni taaluma siyo elimu. ELIMU ni matumizi sahihi ya taaluma. Ni kweli mnyika taaluma yake ni ya kidato cha sita ila ana elimu kubwa kukuzidi wewe. Acha kuweweseka.
Wasanii wameenda mbeya kama chama cha waigiza filamu. Kwa mantiki hiyo, chama chao wamejitambulisha rasmi kuwa ni tawi la ccm na cyo waigiza filamu. kwa iyo, mimi kama gwanda cwezi nunua tena kaz za wana ccm, cmpo.
Daaa! watoto wetu hadi leo walikaa tu nyumban wanasubiria matokeo wajue kama wanabak form 2 ama la. si wangesema tangia mwaka walipofanya mtihan? acha tu hii wizara apewe mulugo!
Kama unaona haya kujamba basi haukupata mda mzuri kufahamiana na mkeo kipindi cha uchumba. nakushauri umfanye mkeo awe rafikio mkubwa na punguza adabu ukiwa naye isiwe kama upo na mama mzaz. hapo kutoa hewa chafu itakua kama kutema mate.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.