Katika kile kilichoelezwa kuwa na mwendelezo wa uhasama wa kisiasa, Gari la aliyekuwa waziri mkuu wa JMT mh. Sumaye limepigwa mawe na kundi LA watu wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa mbunge wa wilaya ya Hanang mama Mary Nagu.
Sumaye ambaye pia aliwahi kuwa mbunge wa wilaya ya Hanang mkoani manyara...
Mlikuwa wap tangu miaka 52 ya uhuru kuleta maendeleo hadi leo jiji zima lina vyuo vikuu viwili?Au nako chadema walikwamisha? Acha kuishi na mlenda kwenye ubongo...ww bado mtoto mdogo fikirisha akili!!!
CCM bana u always drive me crazy! Ni vigumu kuelewa hawa wabunge wa sisiem ambao hoja kadhaa zimewahi kuwasilishwa bungeni kuhusu madawa ya kulevya lakini kwa sababu tu aliyeleta ni mpinzani mnaendeleza propaganda zenu za "ndiooooo" bungen kupitisha upuuzi badala ya kumsuport alafu leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.