Mkuu ungempa mwaliko bhasi, alafu sijawahi kishuhudia wenzetu waislamu mkiwa mnamkesha wa mwaka mpya hebu kama mnao mkesha wa mwaka mpya nijuze...alafu masuala ya udini umeyaleta wewe yeye katoa salamu ya mwaka mpya kwa Watanzania wote.
Kwa hiyo Mwenyekiti wako wa Taifa wa CCM ni Rais wa MAFUSKA? Nyie ndiyo mnatufanya huyo Prof wa Kichina tuzidi kumdharau.Hivi kuna fuska kama Prof wa Kichina?
Kwa hiyo Mwenyekiti wako wa Taifa wa CCM ni Rais wa MAFUSKA? Nyie ndiyo mnatufanya huyo Prof wa Kichina tuzidi kumdharau.Hivi kuna fuska kama Prof wa Kichina?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.