Recent content by Mlawa Simon mwasenga

  1. M

    Mbunge anapokuwa mvunja sheria: Mch. Peter Msigwa na ajira za watoto

    ww unajua ilikuwa siku gani hiyo, au unadhani kila siku wanafunzi wanaenda shule?
  2. M

    Moses Machali aamua kurejea CCM. Adai CCM ya Magufuli si CCM ya zamani!

    Njaa itatuua watanzania, huyu jamaa ana stress za kukosa ubunge.shame on him
  3. M

    Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

    Ww ndo hujui sasa, alie kwambia kuwa hiyo solar eclipse niya kisayansi ninani? je kupatwa kwa jua ni mpango wa wanasayansi?, kutabir na kuona event inayo weza kutokea, kwa kutumia vifaa vya kisayans hiyo ndo kaz pekee wanayo weza kuifanya wanasayansi lakini si kutengeneza tukio kama hilo. Acha...
  4. M

    Zitto: Magufuli hajabadili kitu, ameboresha aliyoyakuta

    namuunga mkono mh Zitto kabwe. tunataka mabadiriko ya kimageuzi yenye dira na falsafa mpya yakitoa muelekeo wa matumaini na uhakika wa taifa la Tanzania kwa miaka mingi hata vizazi na vizazi ma zaidi ni kutunga sheria ya kulinda na kudhibiti mali asiri na mali za uma kwani viongoz wetu wamekuwa...
  5. M

    Mgomo na Maandamano Dar, Tarehe 5/01/2016

    du hiyo kali maana .aona maisha kwa wakaz wa dar hususani wanao tumia usafiri kila siku itakuwa tabu sana
  6. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    chamsingi ni point tatu muhimu na tumezipata
Back
Top Bottom