Ww ndo hujui sasa, alie kwambia kuwa hiyo solar eclipse niya kisayansi ninani? je kupatwa kwa jua ni mpango wa wanasayansi?, kutabir na kuona event inayo weza kutokea, kwa kutumia vifaa vya kisayans hiyo ndo kaz pekee wanayo weza kuifanya wanasayansi lakini si kutengeneza tukio kama hilo. Acha...
namuunga mkono mh Zitto kabwe. tunataka mabadiriko ya kimageuzi yenye dira na falsafa mpya yakitoa muelekeo wa matumaini na uhakika wa taifa la Tanzania kwa miaka mingi hata vizazi na vizazi ma zaidi ni kutunga sheria ya kulinda na kudhibiti mali asiri na mali za uma kwani viongoz wetu wamekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.