Recent content by mlaulesteven

  1. M

    Hivi inawezekana kuishi na MKE kwa mshahara wa 150000?

    we oa acha woga. tena akl ndo itapanuka zaidi
  2. M

    Wandugu ni kweli udom kuna hili?

    we nenda utayajua huko huko
  3. M

    Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

    changia kwa unayeona kuna cku atakuchangia au aliwah kukuchangia mbona simple! acha umbulura
  4. M

    Uongozi hospital ya Bombo Tanga kukusanya ushuru kwa magari yanayoingia hospitali

    Nimeshangazwa na utaratibu wa hospital ya mkoa wa tanga bombo kwa kukusanya ushuru kwa magari yanayoingia hospital. Wamekua wakitoza tsh 500 kwa gari inayoingia hosptal. Ikumbukwe jambo hli lilishapigwa marufuku na aliyekua waziri wa afya Dr. AISHA KIGODA. Alisema hospital c sehemu ya starehe so...
  5. M

    Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

    nenda pale makutano ya morogoro road na bibi titi kunaghorofa nimelisahau jina ila linatazamana na dit kwa barabara ya bibi titi
  6. M

    Ivona Kamuntu (Startv): CHADEMA Wameshajitoa Katika Muungano...!

    muungano wa cdm, cuf na nccr, unaweza ukafananishwa na utatu mtakatifu?
  7. M

    Wadau nishaurini kwa hili

    bartazar hata ushauriwe vp. kama umeshajirzsha na shuhuda hzo, mbmuz unayo mwenyewe kaka uctegemee m2 . masuala ya ndoa ni magumu sana. ningekua mimi ningeshatimua muda mrefu sana
  8. M

    Lukuvi na Lissu uso kwa uso Mlimani City mjadala kuhusu kanuni za bunge

    Lukuvi bora uharishe 2. Unaenda kuaibika. Simuoni hata mmoja wa kumshnda lisu. Hao wa chama che2 wote mambururaaa
  9. M

    Muswada kurudishwa bungeni

    Wapuuz ndo watajua kuwa wapinzani wako vema. Hongera muungano wa vyama vya upinzani. Fanyen hvyo hata uchaguz mkuu
  10. M

    Viongozi na Wajumbe watano wa CHADEMA wakamatwa

    kova huu ushauri wa bure kwako. waache muungano wa vyama vya upinzani wafanye mambo yaoo. we peleka ulinzi wa kutosha kama ulivyopeleka kwa obama. chadema wakishka madaraka ntakuonea huruma, maana hata kondoa hutakaa
  11. M

    Itega sec imulikwe

    Tunaiomba wadau wa elimu mkoa wa dodoma na taifa kwa ujumla, waitazame shule hii ya ITEGA SECONDARY iliyopo maeneo ya nkuhungu dodoma. Shule hii imekua haina taaluma ya kuridhisha kwa muda mrefu. Shule haina baadhi ya walimu wa masomo zaidi ya miaka miwili sasa. Mfano mwalimu wa biology. Watoto...
  12. M

    mlaule

    wenye mji huu mpo?
Back
Top Bottom