Nimeshangazwa na utaratibu wa hospital ya mkoa wa tanga bombo kwa kukusanya ushuru kwa magari yanayoingia hospital. Wamekua wakitoza tsh 500 kwa gari inayoingia hosptal. Ikumbukwe jambo hli lilishapigwa marufuku na aliyekua waziri wa afya Dr. AISHA KIGODA. Alisema hospital c sehemu ya starehe so...
bartazar hata ushauriwe vp. kama umeshajirzsha na shuhuda hzo, mbmuz unayo mwenyewe kaka uctegemee m2 . masuala ya ndoa ni magumu sana. ningekua mimi ningeshatimua muda mrefu sana
kova huu ushauri wa bure kwako. waache muungano wa vyama vya upinzani wafanye mambo yaoo. we peleka ulinzi wa kutosha kama ulivyopeleka kwa obama. chadema wakishka madaraka ntakuonea huruma, maana hata kondoa hutakaa
Tunaiomba wadau wa elimu mkoa wa dodoma na taifa kwa ujumla, waitazame shule hii ya ITEGA SECONDARY iliyopo maeneo ya nkuhungu dodoma. Shule hii imekua haina taaluma ya kuridhisha kwa muda mrefu. Shule haina baadhi ya walimu wa masomo zaidi ya miaka miwili sasa. Mfano mwalimu wa biology. Watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.