Vizee kama hivyo vinakuwaga vibishiii! Hawezi sikiliza ushauri wa mtu, tena mtoto wake ndo kabisaaa hawezi kumshauri labda kama huyo mtoto ana kipato kikubwa kumshinda baba
Na wewe unaweza kuwa mtaalam wa sheria za kodi lkn ukawa kilaza kwny mambo mengine....
Ndo maana jukwaa hili lipo kwa ajili ya kuelimishana kwny mambo mbali mbali
Nimekutana na situation kama hii leo hata saa moja haijaisha. Mimi cjawabishia coz sijui taratibu zikoje.tena nimeambiwa nilipie 132,ooosh kwamba 10% ya kodi ya pango na 1% hata cjui ya kitu gani....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.