Hapa mkuu nawe umechanganya!! Mi sizungumzii Property tax.Kwani hii hukusanywa na halmashauri husika, japo kwa dar jukumu alikabidhiwa TRA, alichemka.hilo suala lako la PAYE hilo lipo ki sheria, sasa hili la mikataba ya pango inawezekana liko kisheria sasa inakuwaje uniambie mimi kuwa kodi ya mwenye nyumba mnikate mimi eti wao huwa hawakubali!! Hivyo nilipe mimi then nika negotiate naye akikubali kuni refund powa akikataa basi!!! Huoni kuwa kuna tatizo hapo??? Then mnategemea kuongeza tax base kwa mwendo huu!!! Jiulize kwanini TRA walichemka kukusanya hiyo property tax???? Wakawa wanaacha magorofa ya kariakoo wanakimbilia vijumba vya mbagala?? Na inakuwaje mtu akachukue TIN namba wilaya ya mkulanga asikutane na kodi hiyo?! N
io vitu vinavyotakiwa kujibiwa.
Property tax nh kwa kila nyumba na ni kodi ya halmashaurı japo inakusanywa na TRA.Withholding tax nı kwa majengo yanatumika kibıashara kama nyumba za kupanga,frame za bıashara,hotelı,gesti,gereji n.k.Pole,ni ka utaratibu japo kanakera.Ila hawa ma landlord wanakusanya hela nyingi lakn hawataki kabisa kulipa kodi!!