Recent content by mlalo

  1. mlalo

    Ujenzi wa lenta kwa nondo 3 unafaa?

    Mjengo wangu wa tofali za kuchoma nimepiga nondo moja tu halafu uko strong. Kwa tofali ya block ni vyema kuweka mbili ama nne.
  2. mlalo

    Lushoto: Giftland lodge/hotel kupigwa mnada Jumamosi tarehe 20/07/2019

    Hio ipo Dochi kama unaenda Ngala. Ni karibu na Chuo change Uongozi wa Mahakama (IJA).
  3. mlalo

    Kijana, kujenga nyumba ni uoga wa maisha

    Acha hizoo mkuu, maisha ni nyumba ndio maana hakuna baba au mama mwenye gari zaidi ya baba au mama mwenye nyumba. Tusingejenga mngepanga nyumba za nani. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mlalo

    Orodha ya vijana maarufu wenye pesa bila msoto hapa Tanzania

    Sina uhakika sana kama amepiga pesa mahali lakini msukuma namkumbuka miaka ya 2000 mwanzoni alikuwa akifanya biashara ya simu wilaya za Lushoto na Korogwe tena kipindi kile alikuwa anawakopesha watumishi wa serikali. Imagine ndio simu zilikuwa zinaingia katika maeneo hayo then unakopeshwa kwa...
  5. mlalo

    Ni kweli bara la Australia lipo Upside down?

    Hivi ukiwa unapanda mlima wenye slope kali yaani uliosimaa sana huwa unajihisi vipi? Naamini kabisa dunia iko sphere. Ni mtazamo wangu tuuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mlalo

    Tanesco jimbo Mlalo mnatufanyia sio kwakweli

    Haiwezekani mnatukatia tu umeme kwa mda mrefu bila hata taarifa yoyote. Ni kweli kwamba labda kuna matengenezo yanaendelea au kuna hitilafu mahali fulani, lakini ni uungwana na busara zaidi kama kutakuwa na tangazo juu ya mda gani hadi mda gani umeme utakosekana ili wateja wenu wajipange mapema...
  7. mlalo

    Watumiaji wa Tigo, kuna kitu kinaitwa Tigo Nivushe? Ambapo unaweza kukopa hela na kuingia kwenye Tigo Pesa.

    Tigo nivushe wanakupa muda wa kulipa mwenyewe lakini ukipitisha ule muda wanakata wenyewe. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mlalo

    Tanzania Safari Channel irekebisheni imezidi ku scratch

    Basi Azam popote pale mlipo tunaomba mrekebishe hilo tatizo ili na sisi wateja wenu tufurahi. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mlalo

    Tanzania Safari Channel irekebisheni imezidi ku scratch

    Basi itakuwa kwenye Azam inasumbua. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. mlalo

    Tanzania Safari Channel irekebisheni imezidi ku scratch

    Mbona kwangu natumia dish la Azam lakini ni shida ndugu.? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mlalo

    Tanzania Safari Channel irekebisheni imezidi ku scratch

    Mimi ni mpenzi sana wa chanels za wanyama na utamaduni kama ilivyo chanel hii mpya ya Tanzania Safari Channel lakin hii yakwetu inaudhi kwa kuscratch. Au ni kingamuzi changu ndio kina shida wadau? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. mlalo

    Ni miezi minne sasa tangu sindano yenye damu yenye maambukizi ya VVU inichome. ARV is not a picnic jamani

    Hio kitu ni sheedah. Hata kama umetumia kwa mda mrefu kisha ukaacha kama wiki moja siku ukianza tena mziki ni ule ule. Unaweza ukaota umedumbukizwa ndani ya pipa la acid halafu hufi.
  13. mlalo

    Nataka ninunue smartphone

    Mimi niko data on muda wote lakini inakaa hadi masaa kami na tano. Tecno naikubali sana.
Back
Top Bottom