Wasiliana na tb joshua ukipata yale maji yake ya baraka hutakaa uvute sigara tena, mimi nilitumia nikafanikiwa kuacha baada ya kuwa mvutaji kwa miaka 29,
mnao mshutumu tb joshua hamjui msemalo, huyo ni nabii wa mungu kama walivyokua akina elia zamani hizo, so usichokijua ni usiku wa giza ,kama unataka kujua ukweli fuatilia emmanuel tv, na kweli itakuweka huru, mungu atujalie tuweze kuijua hiyo kweli amen.
watanzania bwana kwa kutoelewa alokwambia wenye maduka hawalipi kodi kakudanganya hiyo ni mojatu kati ya milolongo ya kodi wanazolipa, kodi ni nyingi mno nchi hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.