Mpoki was very right. Kitima ni binadamu tu na ana madhaiifu yoteeee. Wakristu walikuwa na malengo yao.
Je marehemu angekuwa hai wangempinga kama walivyojaribu mama
Kesi zote za kubaka, kunajisi inabidi zifutiwe dhamana hii ina changia sana watu kuendelea na vitendo viouvu.
Wakati kesi inaendelea awe ndani mpaka huku.
isije ikawa nyoka anaezungumziwa ni huyu hapa chini. Maana akiamua kukuingiza kwenye msala. Utakujaju juta akisha haribu ananywea anajifanya tukio halimhusu kabisa.
Anakuponza mazima wakati asali alikula yeye. Na sometimes wewe ulikuwa huhitaji ni kiherehere chake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.