USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Sooni ninakusudia kuachana na CCM nimeipigania hapa yangu 2009, JF sijawahi kuisaliti ila Kwa yanayoendelea nchini naona kama nawasaliti watanzania wenzagu kushabikia huu upuuzi unaoendelae Kwa kutapanya pesa za walalahoi maskini huku sisi tukiendela kula Bata tena Kwa vitu visivyo na maana na Wala havisaidii taifa.
Imekuwa nchi ya sherehe ,matamasha ,wizi,ufisadi, ujambazi ,huku nchi ilikosa mwelekeo wakiuchumi Kwa watoto wetu
Unawaita wasanii wakae wiki nzima kizimkazi wale ,wanywe walale Kwa pesa za walalahoi maskini wa taifa hili .
Unawaita wanasiasa ,mawaziri, Askari na n.k wakae wanywe wale walale na michepuko yao Kwa pesa za walalahoi maskini wa taifa hili.
Hapohapo unatoka kuongeza wizara nne mpya kwenye baraza la mawaziri wale bila sababu ya msingi
Imekuwa nchi ya sherehe ,matamasha ,wizi,ufisadi, ujambazi ,huku nchi ilikosa mwelekeo wakiuchumi Kwa watoto wetu
Unawaita wasanii wakae wiki nzima kizimkazi wale ,wanywe walale Kwa pesa za walalahoi maskini wa taifa hili .
Unawaita wanasiasa ,mawaziri, Askari na n.k wakae wanywe wale walale na michepuko yao Kwa pesa za walalahoi maskini wa taifa hili.
Hapohapo unatoka kuongeza wizara nne mpya kwenye baraza la mawaziri wale bila sababu ya msingi