Vipi gauni ni 2.5$ na shipping cost 6.23$. Je hii inamaana kuwa gauni hadi lifike Tz gharama Itakuwa ni 8.73$ ? Pia na TRA Je? Gharama si kubwa. Em nisaidie nijue cz nataka nifanye biashara, nimechoka kutegemea mshahara.
Vipi gauni ni 2.5$ na shipping cost 6.23$. Je hii inamaana kuwa gauni hadi lifike Tz gharama Itakuwa ni 8.73$ ? Pia na TRA Je? Gharama si kubwa. Em nisaidie nijue cz nataka nifanye biashara, nimechoka kutegemea mshahara.
Aaa kumbe[emoji15]! Inahitaji ukishapiga ma3 kipindi cha kwanza, unaenda dukani kwa Mangi hata lisaa limoja, ndo unarudi na mwendokasi. Hii mbinu iko mwake. Nitamkomesha yaani we achatuu!
[emoji122] [emoji122] [emoji122] shukrani sana kwa kuleta Hill swali, sababu hii hali ilishanitokea nikiwa kwenye mitihani pia. Ila nilijipa majibu kuwa sababu ni.
1) muda wa mitihani kuisha halafu, najikuta maswali mengi nayajua.
2) kuwa na shauku ya kufanya maswali yote kwa wakati mmoja hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.