Msaada: Nina tatizo la kutoa manii (ku-ejaculate) kila nipatwapo na hofu

proskaeur

JF-Expert Member
Mar 8, 2017
1,562
4,899
Wasalaam wanabodi!!!

Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, ndugu yenu nina tatizo la kujipizia hasa nikiwa na hofu kubwa. Hii hali ilinianza nikiwa kidato cha nne.

Nakumbuka nilikua nafanya mtihani muda ukaisha, mwalimu akaja kukusanya mitihani na jinsi mtihani ulivyokuwa mgumu halafu sijamaliza kwa hofu niliyokuwa nayo nikajikuta najipizia nikiwa nimkaa kwenye kiti.

Tangu kipind kile nilijitahidi sana hali hiyo isinitokee tena, bahati nzuri niliweza kujizuia but hali ilkuja tena kujirudia nikiwa form five lakini nilijitahidi sana siku hiyo sikupizi pia nilikuwa kwenye mtihani.

Sasa kinachonipa shida ni kuwa kwa sasa nikiwa nimelala nikiota ndoto mbaya lazima nijipizie(ni-ejaculate) na hii inanitokea mara kwa mara kwa wiki inaweza tokea hata mara 3.

Kwa kifupi ni kuwa sijawahi kupiga punyeto so sijui hata inavofanywa, pia sijawahi kufanya mapenzi na msichana hata mara moja, umri wangu ni miaka 22 kwa sasa.

Hapa najiuliza je hili tatizo ni kutokana na kutokufanya mapenzi ndio maana kitu kama hiki kinanitokea au ni psychological problem!??

Msaada ndugu zangu sina amani kabisa najihisi kama siko sawa kabsa!!!
 
Wasalaam wanabodi!!!

Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, ndugu yenu nina tatizo la kujipizia hasa nikiwa na hofu kubwa. Hii hali ilinianza nikiwa kidato cha nne.

Nakumbuka nilikua nafanya mtihani muda ukaisha, mwalimu akaja kukusanya mitihani na jinsi mtihani ulivyokuwa mgumu halafu sijamaliza kwa hofu niliyokuwa nayo nikajikuta najipizia nikiwa nimkaa kwenye kiti.

Tangu kipind kile nilijitahidi sana hali hiyo isinitokee tena, bahati nzuri niliweza kujizuia but hali ilkuja tena kujirudia nikiwa form five lakini nilijitahidi sana siku hiyo sikupizi pia nilikuwa kwenye mtihani.

Sasa kinachonipa shida ni kuwa kwa sasa nikiwa nimelala nikiota ndoto mbaya lazima nijipizie(ni-ejaculate) na hii inanitokea mara kwa mara kwa wiki inaweza tokea hata mara 3.

Kwa kifupi ni kuwa sijawahi kupiga punyeto so sijui hata inavofanywa, pia sijawahi kufanya mapenzi na msichana hata mara moja, umri wangu ni miaka 22 kwa sasa.

Hapa najiuliza je hili tatizo ni kutokana na kutokufanya mapenzi ndio maana kitu kama hiki kinanitokea au ni psychological problem!??

Msaada ndugu zangu sina amani kabisa najihisi kama siko sawa kabsa!!!
Pole mwaya jaribu kwenda hospital umuelezee doctor huenda utapata ufumbuzi
 
Pole sana mkuu, nadhani ugonjwa wako hauna tiba zaidi ya kujiamini. Hali hiyo uwatokea wengi nami ni mmoja wapo. Kuna mada ilikuwepo kuhusu suala kama lako nimetafuta nimeikosa, nikiipata ntaweka hapa upate moja mbili.
 
Msaada ndugu zangu sina amani kabisa najihisi kama siko sawa kabsa!!!
1.kwanza unahitaji kuwa na amani usije ukamwaga mkuu,
2.lbda nikutoe hofu hilo ni jambo dogo tu
3.anza na nambamoja ukisubiri wadau waje wakupe ushauri lkn ni vima pia kama ungeenda kumuona dactari ana kwa ana, kwa ushauri zaidi
4.GET WELL SOON MKUU
 
Kawaida... Hata wanawake huingia period za ghafla wakipatwa na mshtuko.
 
Dah pole sana mkuu. Nakumbuka mwaka 2008 chuoni niliwahi kukumbwa na tatizo hilo pale nilipokuwa nafanya mtihani wa engineering mathematics, naambiwa muda umeisha halafu bado maswali kibao sijayafanya. Nilichanganyikiwa kinoma aisee. Sasa nilivyomuona mwalimu anapita kuchukua karatasi yangu basi nikashangaa tu chini nako kumejibu. Nilizidi kuchanganyikiwa aisee yaani natoka chumba cha mtihani huku najishtukia mwenyewe kama watu wanaona vile. Ila nashukuru Mungu ile hali ilikuwa ni mara ya kwanza na ya mwisho, sijapatwa tena hilo tatizo
 
Swali la kizushi mkuu.. huko kupizi kuna kua kumeambatana na climax au ni out of the blue tuuu unashangaa pwaaaaah?
 
Hahaha! Pole mkuu.
Kwanza nikakutana na hali hiyo wakati najifunza kuendesha baiskeli. Baiskeli ilikuwa ikinesanesa tu junior anafanya mamb. Hapo nilikuwa shule ya msingi.
Pia ilinitokea wakati nafanya mtihani wa physics necta form 4. Pepa ilikuwa ya ukweli. Nikashangaa wazungu hao.
Haijawahi kutokea tena.
Huenda wewe inatokea kwa sababu bado ni bikra.
 
Pole mwaya jaribu kwenda hospital umuelezee doctor huenda utapata ufumbuzi
shukrani sana kwa kuleta Hill swali, sababu hii hali ilishanitokea nikiwa kwenye mitihani pia. Ila nilijipa majibu kuwa sababu ni.
1) muda wa mitihani kuisha halafu, najikuta maswali mengi nayajua.
2) kuwa na shauku ya kufanya maswali yote kwa wakati mmoja hasa unapoona maswali unayoyajua (unababaika)
NAMNA YA KUZUIA
1) Jifunze kupangilia muda kuendana na aina za maswali.
2) Chagua maswali unayoyajua kwa kila swali pangilia dondoo kwa penseli nyuma ya karatasi ya majibu (tumia dk 10 kumaliza kupanga)
3) Chagua uanze na swali lipi. Kisha baada ya kumaliza mtihani cancel zile dondoo kwa penseli kwa ruler kuanzia mwanzo /juu hadi chini kwenye kurasa husika ya dondoo.
 
Nimesomaa mwanzo wa Uzi huu toka mwanzo na wachangiaji wake woootee sijaweza kuambulia kituu inawezekanaje ukapizi ukiwa katika mtihan icho kizaga kinasimama au vinatoka Kama usahaa tuu? Nyie vijana wa dot com inakuwajee asee me ndo nasoma Leo kitu Kama hiii au ni hizii chips fungaaa?
 
Tafuta mpenzi wako awe wako lakn awe wako tafdhali ,lkn awe wako asee,aan awe wako wakuoana na awe wako pekee,mpige vitu na ujipange kulea
 
Back
Top Bottom