Sasa kama umeondoka nyumbani hujaacha pesa afu unataka urudi jioni ukute pamepikwa utakuwa punguwani wewe sio bure maana hata hao watumishi usipotoa Kodi ya meza hukuti kitu
Wapigie bila kuchoka ndugu kuna mwanangu mmoja juzi kawapigia karibu 2hours wakapokea na walimsaidia wakamfutia ye alikuwa amekosea akaweka cheti cha form four ambacho sio verified
Nina dogo langu kamaliza form six na alisoma CBG je ni course gani ya sayansi ambayo anaweza kusoma ili akimaliza atoke na ujuzi kichwani mbali na uhakika wa ajira. Ufaulu wake ni div 2 ya 11 yaani D flat.
Naomba kuwasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.