Nchi yetu inazidi kudidimizwa kwenye dimbwi la ufukara wa fikira kutokana na hiki kizazi kipya kinacho itwa MACHAWA,na wakubwa wameshapata advantage/faida.
Pole sana ndugu yangu, maana hiyo style ilisha wahi nitokea ila nashukuru niliishinda,ila tu kumbuka hawa viumbe wakianza kuoza kwenye akili yao hawana huruma hata kwa mtoto wake.
Kanisa langu la kkkt linapukutika kila kukicha,mtu anamaliza uongozi then anarudia tena kuongoza inamaana tulikosa mtu mwingine kweli?pia limekuja swala la bandari bado kiongozi anajiuma uma tu hatu eleweki tuko moto au baridi.
Tatizo mahakama yetu haiko huru katika maamuzi yake, mpaka hapo naona mahakama itatoa maamuzi ya kulinda aibu ya mama,Kumbukeni kama mahakama itabatilisha huu mkataba basi itaharibu kabisa msitakabari wa CCM mwaka 2025 so kwa vyovyote vile mahakama itatoa uamuzi wa kulinda kiti.
Mawakili wetu wamethubutu vizuri na wanahoja, sasa je mahakma yetu itaweza kumfunga paka kengele? Ingekuwa pale kwa jirani huu mkataba ungechwanwa mbele ya Bunge kabisa.
Alaaniwe kabisa aliye simika bunge la chama kimoja,pia hii inaonyesha jinsi hawa watawala wanavyo tudharau sisi raia, bado tuna kilio cha bandari lkn na anatafuta njia ya kuhalalisha dhamira yake,wananzengo tumekwisha.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Yani kitenge na wenzake nawafananisha machifu wa enzi za ukoloni,in short 90% ya wandishi wa habari wa nchini kwetu ni zero brain na wala hawajui majukumu yao kiueledi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.