Recent content by Mkwe mkwezi

  1. Mkwe mkwezi

    Kutazama picha/video za ngono ni hatari sana

    Gemu unalopiga kama kawa ni kwa muda tu. baada ya muda maalum kwisha kabisa ndipo utakapojuta. vya muda vinapendeza lakini havidumu. usijejikuta umechelewa, take care. Kuishi kwingi kuona mengi. Jamii Forums is a home of great thinkers only. Kumbuka hadi kutolewa thread kama hii watu wamefanya...
  2. Mkwe mkwezi

    Serikali yaanza kuwafilisi Wenye makontena waliokwepa kulipia kodi

    Hivi hao wote hata kama wamelipa vijisenti vichache, bila kukamatwa 'kisarakasi' vingepatikana hata hivyo vijisenti? Hii ni hatua ya kupongezwa 'Sirikali' hii ya JPM. Maana yake upigaji 'dili' ungeendelea kama walivyozoea huko nyuma. Kweli tumenyonywa kwa muda mrefu. Wa kubeza abeze tu kwani ni...
  3. Mkwe mkwezi

    Hadithi: Roho ya paka. (Ben R. Mtobwa)

    Ulikuwa unatu bip eh! usirudie tena kutuwekea utamu hivi halafu unaingia mitini sawa nameless girl? sirudi tena hapa kwenye post yako, kwa nini kunyanyasa roho za wana wa wenzio hivyo? au umepigwa 'ban na moderator?
  4. Mkwe mkwezi

    Mwanamke anayetukana ananikosha sana

    "Njoo ufanyiwe maooombi iii"...
  5. Mkwe mkwezi

    Kati ya nyimbo hizi za MAMA, upi zaidi?

    tupia au tupakulie hapa kibarazani hasa kwetu sisi ambao hatujawahi sikiliza tuzisikie tukupe mrejesho
  6. Mkwe mkwezi

    Kanisa ambalo mchungaji wake ni haramu kwake kukanyaga chini

    Nilidhani unatoa hoja kumbe unapiga kelele! Tazama usivyozingatia kanuni ya mjadala, na badala yake unapiga kelele ili usikiwe. Haya mwenye makelele ni wewe acha wajinga wenzio wakusikilize lakini wenye akili watakaa kimwa na kukutumbulia mimacho tu wakikushangaa. Kama kweli umebobea kwenye...
  7. Mkwe mkwezi

    Kanisa ambalo mchungaji wake ni haramu kwake kukanyaga chini

    niliuliza juu ya huyo mwanadini uliyepost picha akiwa amewakanyaga watu.
  8. Mkwe mkwezi

    Kanisa ambalo mchungaji wake ni haramu kwake kukanyaga chini

    UngaUnga kweli una unga, sasa mnasalije au ni mgegedo mwanzo mwisho. halafu kigamboni ya wapi, nilisikia hata Dodoma kuna kigamboni, siyo ya Dar tu. nikaribishe ili nijione
  9. Mkwe mkwezi

    Kanisa ambalo mchungaji wake ni haramu kwake kukanyaga chini

    Mheshimiwa sana MziziMkavu huko ni wapi na huyo ni nani tujuze
  10. Mkwe mkwezi

    Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

    Hujanisoma Miss Chagga. rudia tena. hakuna mahali pa tigo ila akijilia vyake ale hadi ashibe ili kumepusha na vinjaa njaa vya kuwa na macho mbalbu shingo ....
  11. Mkwe mkwezi

    Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

    Mkwe, unatafuta dawa wakati unayo mkononi? nakushangaa kabisa kwani nakuona kuwa unanyemelewa na pepo la uzinzi hapo. kemea na chukua hatua thabiti za kiroho. hatua zinazotakiwa ni: 1. Jitambue (unawindwa roho yako) ndiyo maana ni kama kichaa anakulenga wewe tu na siyo wengine. 2. Umeshauriwa...
  12. Mkwe mkwezi

    Je, Unaweza kumwekea condom mkeo anaposafiri?

    hek hek hek qwi qwi qwi! sijui what happened next. nijuze tafadhali. you made my day, sijacheka siku nzima hadi saa hizi ndo nacheka tu! watu mnajua! qwi qwi qwi!
  13. Mkwe mkwezi

    Msukuma: Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi

    Kweli naihurumia jamii ya Watanzania kwani kodi zetu zinaliwa hivi hivi. Yaani gharama kubwa iliyotumika kuwaleta mjengoni waheshimiwa hawa ni ili kufanya utumbo utumbo kama huu? kuna mambo gani muhimu kwa taifa hili na watu wake ambayo yanahitaji kuwa articulated na waheshimiwa hawa hadi...
Back
Top Bottom