Recent content by Mkwaruu

  1. M

    Kuna familia zina laana ya asili

    Tumsifu Yesu Kristo. Hii sala anakuja kuomba Padri kwenye familia husika au inakuje. Asante Mungu akubariki
  2. M

    Bongo hapo zamani:Lipumba niliyekutana nae akiwa na chupa ya maji mkononi.

    Mku ukiyaambatanisha ingependeza zaidi. Kwani mtu atakumbukwa kwa mzuri aliyoyafanya au kutenda
  3. M

    Bongo hapo zamani:Lipumba niliyekutana nae akiwa na chupa ya maji mkononi.

    Kuna lipi la kujifunza kwa Mtu aliyeamua kukisambatisha chama.
  4. M

    Nashangaa Jumuiya ya Kimataifa wanasubiri nini kuhusu Rais Magufuli na utawala wake?

    Mtego wao uchaguzi mku ndiko mchezo ukakoanzia yaani pale patakatokea kutokutenda haki . Yapo mengi huwa huwayangalia kama ushaidi tosha wa kuwasaidia ili kuweza kudili na jambo husika
  5. M

    Tanzia: Mtangazaji wa DW, Mohammed Dahman afariki dunia

    Mwenyenzi Mungu ailaze Roho yake mahali pema peponi. Amina
  6. M

    January Makamba: Mzee anieleza siri juu ya mzee Nnauye, mzazi wa Nape

    Mungu ni mweza wa yote na atamponya
  7. M

    Ninaanza kupata mashaka zaidi na usalama wa Melo na ni bora achukue tahadhari zote muhimu

    Mwenyezi Mungu muweza yote amlinde na kumpatia amani na nuru
  8. M

    Natafuta vifungashio vya plastic

    Nenda kariakoo ktk soko nje kuna jamaa anaitwa Anzuan hapo kila kitu utapata
  9. M

    Membe 'awavuruga' viongozi wa CCM, wahaha kusaka hatua za kuchukua

    Mku kwani Membe na team jk nani zaidi
  10. M

    Tundu Lissu: Muda muafaka wa kwenda Mahakama Kuu, umefika

    Lissu Mwenyenzi Mungu akubariki na kukupa uhai na Wewe pia .
  11. M

    January Makamba, pamoja na wewe kuwekeza kwenye mitandao ya kijamii kwa lengo la kupaisha jina lako ,mitandao hiyohiyo imekumaliza

    Mku maisha ya Mtu ni mwenyewe na jitihada zake. Ninaamini wewe kumwombea mwenzako kuchakaa ni mfano mmbaya sana kwa Mtu mwenye roho hiyo
  12. M

    Kampeni ya kuikataa Vodacom

    Nimeshajitoa kutumia
  13. M

    Tanzia: General Alfred Mbowe afariki Dunia, Msiba upo Salasala Dar Es Salaam

    Pole sana Mbowe na Mungu akupatie nguvu na ushupavu katika kipindi cha majonzi
  14. M

    CCM na Roho ya Mauti

    Mku kama ina ukweli
Back
Top Bottom