CCM na Roho ya Mauti

CCM na Roho ya Mauti

My Son drink water

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
4,930
Reaction score
13,334
Mara nyingi mtu anapokaribia kufa huwa hajielewi yupo ktk position ipi ,huwa anakuwa na vituko vingi, na hata anapobaini kifo chake kuwa kimefika tayari huwa anajaribu kukataa kufa huku akijua kabisa kuwa hawezi kugoma kufa.

Hakuna kiishicho milele, aishiye milele yupo mmoja tu, naye ni Mungu wa mbinguni.

Sasa kifo cha CCM kimewadia, vurugu inayoendelea CCM inanikumbusha kifo cha KANU ya Kenya, nayo ilianza kwa kupasuka ndani Kama ilivyo CCM.

Mwisho wa siku waliishia kugawana hadi mbao za ofisi.

Unapomfanyia mtu jambo baya ili ateseke mara nyingi wewe ndo utaishia pabaya tu.
Kununua wapinzani, kutesa wapinzani, kuua Demokrasia walitarajia ndo CCM itakuwa imara,huo ni umbumbumbu wa hali ya juu kabisa.

Uimara wa chama unatokana na serikali ya chama husika kuinua uchumi wa watu ndo chama kitakuwa imara automatically kwa sababu utakuwa na la maana na la kuonekana utakalowaambia wananchi wakuelewe.

Maisha ya watu magumu kupindukia, hakuna ajira wala mabenk maalumu ya mikopo yenye masharti nafuu ili kuwawezesha watu kiuchumi.

Wafanyakazi hawajawahi kuongezwa kuongezwa hata cent zaidi ya kufukuzwa, mzunguko wa pesa umekufa, na Biashara zimekufa.

Kila siku tunaimbiwa, SGR, stigler gorge, ndege na viwanda, sasa sijui watu wataendelea kuteseka hadi lini, huku tukielezwa hiyo miradi ni ya pesa za ndani.

Hakuna nchi yoyote Duniani iliyojenga infrastructure zake kwa pesa zake za ndani wakati ikiwa bado maskini, Tanzania inakuwa ya pili baada ya Ethiopia.

(I stand to get corrected too)
Halafu eti bado CCM ina ndo za kuendelea kuongoza, kwa umasikini huu mkubwa uliopo bado wanaitakia nini Tanzania hawa watu?

Mwaka 2020 ndo kifo rasmi cha CCM na mazishi yatafanyika kwa amani kabisa.
Magufuli akiona anazidi kutengwa anaweza kuanzisha chama chake, 2020,kutakuwepo na CCM A na CCM B.
Halafu zitakufa zote na upinzani kuchukua nchi .

Nafahamu jinsi ambavyo vijana wa CCM watakuja na kejeli, kujibu hii mada, lakini hilo halitoi ukweli wa kifo cha CCM, chama kilicholeta umasikini wa kutupwa Tanzania.
 
mnajidanganya mnapokaa kwenye vijiwe vya kahawa kwamba kuna upinzani Tanzania unaweza kuitoa CCM. Upinzani huuhuu ambao unapinga maendeleo yasifanyike ndio uiondoe CCM ? Upinzani huuhuu ambao hauna uelekeo, dira na ramani uiondoe CCM?

Watanzania wanaona vituko vya upinzani na wanasikitika sana kwa nini walipoteza muda wao, haki yao kupiga kura kwa wabunge wa upinzani ambao wamegeuka kuwa wapingaji wa waliokuwa wanayapigania.

Kwa hiyo kama hakuna nchi iliyojenga infrastructure zake kwa pesa za ndani, hujisikii fahari Tanzania ndio imefanya hivyo na tumepunguza mzigo wa deni la taifa kwa vizazi vijavyo? si mnasema kuwa nchi nyingi zinaangukia katika debt-trap ?

watanzania sio wajinga waache kuichagua CCM wakachagua upinzani kituko. watanzania wanajua kipindi hiki cha mpito na neema zitakuja na zitaletwa na CCM. watanzania wanataka SGR inajengwa, wanataka ndege zimenunuliwa, Umeme Rufiji unajengwa na mengine mengi yanayofanyika watanzania tunayapenda na tutachagua CCM kwa sababu ndio yenye nia, uwezo na sababu ya kutupatia
 
Naona wameamua tumia hadi waganga wawatishe watu wasichukue formu Kwa mgombea anaekubalika hofu ya nn,Roho ya mauti haiishi kutapatapa
 
Badala ya kuwafanya watu wasiwe na njaa,shibe kwanza wamekalia white elefant project na kuimarisha jeshi LA polisi badala ya kuimarisha maisha ya watu kuwaondolea njaa ili waipende ccm.
 
Mara nyingi mtu anapokaribia kufa huwa hajielewi yupo ktk position ipi ,huwa anakuwa na vituko vingi, na hata anapobaini kifo chake kuwa kimefika tayari huwa anajaribu kukataa kufa huku akijua kabisa kuwa hawezi kugoma kufa.

Hakuna kiishicho milele, aishiye milele yupo mmoja tu, naye ni Mungu wa mbinguni.

Sasa kifo cha CCM kimewadia, vurugu inayoendelea CCM inanikumbusha kifo cha KANU ya Kenya, nayo ilianza kwa kupasuka ndani Kama ilivyo CCM.

Mwisho wa siku waliishia kugawana hadi mbao za ofisi.

Unapomfanyia mtu jambo baya ili ateseke mara nyingi wewe ndo utaishia pabaya tu.
Kununua wapinzani, kutesa wapinzani, kuua Demokrasia walitarajia ndo CCM itakuwa imara,huo ni umbumbumbu wa hali ya juu kabisa.

Uimara wa chama unatokana na serikali ya chama husika kuinua uchumi wa watu ndo chama kitakuwa imara automatically kwa sababu utakuwa na la maana na la kuonekana utakalowaambia wananchi wakuelewe.

Maisha ya watu magumu kupindukia, hakuna ajira wala mabenk maalumu ya mikopo yenye masharti nafuu ili kuwawezesha watu kiuchumi.

Wafanyakazi hawajawahi kuongezwa kuongezwa hata cent zaidi ya kufukuzwa, mzunguko wa pesa umekufa, na Biashara zimekufa.

Kila siku tunaimbiwa, SGR, stigler gorge, ndege na viwanda, sasa sijui watu wataendelea kuteseka hadi lini, huku tukielezwa hiyo miradi ni ya pesa za ndani.

Hakuna nchi yoyote Duniani iliyojenga infrastructure zake kwa pesa zake za ndani wakati ikiwa bado maskini, Tanzania inakuwa ya pili baada ya Ethiopia.

(I stand to get corrected too)
Halafu eti bado CCM ina ndo za kuendelea kuongoza, kwa umasikini huu mkubwa uliopo bado wanaitakia nini Tanzania hawa watu?

Mwaka 2020 ndo kifo rasmi cha CCM na mazishi yatafanyika kwa amani kabisa.
Magufuli akiona anazidi kutengwa anaweza kuanzisha chama chake, 2020,kutakuwepo na CCM A na CCM B.
Halafu zitakufa zote na upinzani kuchukua nchi .

Nafahamu jinsi ambavyo vijana wa CCM watakuja na kejeli, kujibu hii mada, lakini hilo halitoi ukweli wa kifo cha CCM, chama kilicholeta umasikini wa kutupwa Tanzania.
Mku kama ina ukweli
 
Mpaka leo CCM haijatoa kauli kuhusu mwenyekiti wao kuitwa mjinga aliyechanganyikiwa na wanaccm, tunasikia wapuuzi wachache tu wakitukana wazee wastaafu wa CCM eti wapumbavu
 
Natamani siku atekwe mtoto mmoja tu wa "mstaafu" ili wauane vizuri zaidi humo chamani.

Ccm ni wakala wa shetani, na hakuna siku hata moja shetani amewahi kumshinda Mungu Mwenyezi wa Mbinguni.

Hivi CCM leo hii ni wa kutegemea waganga wa kienyeji? Ccm is an abomination to this country!
 
mnajidanganya mnapokaa kwenye vijiwe vya kahawa kwamba kuna upinzani Tanzania unaweza kuitoa CCM. Upinzani huuhuu ambao unapinga maendeleo yasifanyike ndio uiondoe CCM ? Upinzani huuhuu ambao hauna uelekeo, dira na ramani uiondoe CCM?

Watanzania wanaona vituko vya upinzani na wanasikitika sana kwa nini walipoteza muda wao, haki yao kupiga kura kwa wabunge wa upinzani ambao wamegeuka kuwa wapingaji wa waliokuwa wanayapigania.

Kwa hiyo kama hakuna nchi iliyojenga infrastructure zake kwa pesa za ndani, hujisikii fahari Tanzania ndio imefanya hivyo na tumepunguza mzigo wa deni la taifa kwa vizazi vijavyo? si mnasema kuwa nchi nyingi zinaangukia katika debt-trap ?

watanzania sio wajinga waache kuichagua CCM wakachagua upinzani kituko. watanzania wanajua kipindi hiki cha mpito na neema zitakuja na zitaletwa na CCM. watanzania wanataka SGR inajengwa, wanataka ndege zimenunuliwa, Umeme Rufiji unajengwa na mengine mengi yanayofanyika watanzania tunayapenda na tutachagua CCM kwa sababu ndio yenye nia, uwezo na sababu ya kutupatia
I expected such comments...
 
mnajidanganya mnapokaa kwenye vijiwe vya kahawa kwamba kuna upinzani Tanzania unaweza kuitoa CCM. Upinzani huuhuu ambao unapinga maendeleo yasifanyike ndio uiondoe CCM ? Upinzani huuhuu ambao hauna uelekeo, dira na ramani uiondoe CCM?

Watanzania wanaona vituko vya upinzani na wanasikitika sana kwa nini walipoteza muda wao, haki yao kupiga kura kwa wabunge wa upinzani ambao wamegeuka kuwa wapingaji wa waliokuwa wanayapigania.

Kwa hiyo kama hakuna nchi iliyojenga infrastructure zake kwa pesa za ndani, hujisikii fahari Tanzania ndio imefanya hivyo na tumepunguza mzigo wa deni la taifa kwa vizazi vijavyo? si mnasema kuwa nchi nyingi zinaangukia katika debt-trap ?

watanzania sio wajinga waache kuichagua CCM wakachagua upinzani kituko. watanzania wanajua kipindi hiki cha mpito na neema zitakuja na zitaletwa na CCM. watanzania wanataka SGR inajengwa, wanataka ndege zimenunuliwa, Umeme Rufiji unajengwa na mengine mengi yanayofanyika watanzania tunayapenda na tutachagua CCM kwa sababu ndio yenye nia, uwezo na sababu ya kutupatia
Dogo unajitahidi kumywesha uji ngonjwa wako asife, atakufa tu
 
Musiba amesisitiza kuwa watu wataendelea kutekwa
 
Kama hii ni ndoto natamani iwe kweli, kama ni utabiri natamani utimie. Ni hakika na kweli kuwa moshi unaofukuta ndani ya ccm umeanza kuonesha moto mkubwa na inaanza kuwa wazi zaidi kuwa hakika hakuna marefu yasiyo na ncha!
Mara nyingi mtu anapokaribia kufa huwa hajielewi yupo ktk position ipi ,huwa anakuwa na vituko vingi, na hata anapobaini kifo chake kuwa kimefika tayari huwa anajaribu kukataa kufa huku akijua kabisa kuwa hawezi kugoma kufa.

Hakuna kiishicho milele, aishiye milele yupo mmoja tu, naye ni Mungu wa mbinguni.

Sasa kifo cha CCM kimewadia, vurugu inayoendelea CCM inanikumbusha kifo cha KANU ya Kenya, nayo ilianza kwa kupasuka ndani Kama ilivyo CCM.

Mwisho wa siku waliishia kugawana hadi mbao za ofisi.

Unapomfanyia mtu jambo baya ili ateseke mara nyingi wewe ndo utaishia pabaya tu.
Kununua wapinzani, kutesa wapinzani, kuua Demokrasia walitarajia ndo CCM itakuwa imara,huo ni umbumbumbu wa hali ya juu kabisa.

Uimara wa chama unatokana na serikali ya chama husika kuinua uchumi wa watu ndo chama kitakuwa imara automatically kwa sababu utakuwa na la maana na la kuonekana utakalowaambia wananchi wakuelewe.

Maisha ya watu magumu kupindukia, hakuna ajira wala mabenk maalumu ya mikopo yenye masharti nafuu ili kuwawezesha watu kiuchumi.

Wafanyakazi hawajawahi kuongezwa kuongezwa hata cent zaidi ya kufukuzwa, mzunguko wa pesa umekufa, na Biashara zimekufa.

Kila siku tunaimbiwa, SGR, stigler gorge, ndege na viwanda, sasa sijui watu wataendelea kuteseka hadi lini, huku tukielezwa hiyo miradi ni ya pesa za ndani.

Hakuna nchi yoyote Duniani iliyojenga infrastructure zake kwa pesa zake za ndani wakati ikiwa bado maskini, Tanzania inakuwa ya pili baada ya Ethiopia.

(I stand to get corrected too)
Halafu eti bado CCM ina ndo za kuendelea kuongoza, kwa umasikini huu mkubwa uliopo bado wanaitakia nini Tanzania hawa watu?

Mwaka 2020 ndo kifo rasmi cha CCM na mazishi yatafanyika kwa amani kabisa.
Magufuli akiona anazidi kutengwa anaweza kuanzisha chama chake, 2020,kutakuwepo na CCM A na CCM B.
Halafu zitakufa zote na upinzani kuchukua nchi .

Nafahamu jinsi ambavyo vijana wa CCM watakuja na kejeli, kujibu hii mada, lakini hilo halitoi ukweli wa kifo cha CCM, chama kilicholeta umasikini wa kutupwa Tanzania.
 
Ena namshangaa katibu mwenezi H Polepole kwa sababu huu ndo ulikuwa wakati wa kulonga kweli kweli lakini ukimya wake unafikirisha sana. Yawezekana mteuzi amemwambia apige kimya, upepo utapita. Huu upepo haupiti sasa!
Mpaka leo CCM haijatoa kauli kuhusu mwenyekiti wao kuitwa mjinga aliyechanganyikiwa na wanaccm, tunasikia wapuuzi wachache tu wakitukana wazee wastaafu wa CCM eti wapumbavu
 
Ena namshangaa katibu mwenezi H Polepole kwa sababu huu ndo ulikuwa wakati wa kulonga kweli kweli lakini ukimya wake unafikirisha sana. Yawezekana mteuzi amemwambia apige kimya, upepo utapita. Huu upepo haupiti sasa!


pole pole atakuwa kapigwa biti alikuwa anaonekana font fed zaidi ya mwenyekiti.
 
We jamaa unatapata tapa sana,Hamna mpasuko wowote ccm.
 
Back
Top Bottom