Umeongea sahihi sana Janken jr ubarikiwe sana ningali nakumbuka miaka 80,90 jinsi kahawa ilivyokuwa kapugi na maeneo ya undali kama sange,lubanda,luswisi, bwenda nk na mbozi pia angalau sasa baada ya serikali kurudisha ushirika bila shaka wananchi wataanza kulima kwa kasi kama miaka ya nyuma
Unajua mapepo mengi tuliyaskia kwa ubaya sana ila kwa hili la rose pepo anamkumbusha na kuvuta sketi isionyeshe paja kwa waumini nimelipenda nafikri nimeanza kutambua mapepo mengine kama haya yako vizuri
Umenikumbusha mbali nimezaliwa na kukulia kapugi miaka ya 80 kwa babu badae tukahamia iringa lakini bado kumbukumbu ya mto sasa,mlagala kule ,lumbila,malindo,ibabo inajia sana
Ni kweli kabisa jambo kama hili la kijamii la kupiga bia za bei chee na wajeda kuna watu wanajifanya inteligensia sana kutaka kuonekana linaharibu afya ya usalama
Hapa shida sana kuanzia kwa wafanyakazi wake mpaka mchakato wa kukipata hata kikitoka wale vijana wa nida ni wasumbufu sijawahi pata mi mpaka sasa nimeamua kuachana nacho maana hawa wadada wa vwawa hapa wanasumbja
Kuna wati
Kuna watu wanawajibishwa na hawako chini yake hapo kuna mkurugenzi Ras afisa utumishi nk sijui kama hawa watu wanapewa semina elekezi kabla ya kupewa hivi vyeo maana naona kama wanaongozwa maan mizuka imewajaa
Nimeshindwa kuelewa ina maana na mbozi katala(me) kuna wakati anatembea na poda au sijaelewa ....
Mmmh basi wanaume wana dar sisi wamikoani tunapata taabu sana kuwaelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.